@pabloo.efx: Gari imechomwa#tanzaniatiktok🇹🇿🇹🇿❣️🇰🇪🇰🇪♥️ #viralvideo #fyppppppppppppppppppppppp #tajiwidi #bbcnews @@Dereva mtoto😍 @BODA BODA STAA @Swahili News TZ @Global tv Online @millardayo

PABLO Ëfx🔥🗽
PABLO Ëfx🔥🗽
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 08:27:38 GMT
41034
1703
166
46

Music

Download

Comments

jo5272826156
jojo :
kuna efootball family hapo nimeskia hiyo leoo hiyooooo
2026-08-19 17:41:13
0
chillnacontent
ChillNaContent :
Kwenye hili tukio Bodaboda 18 wapo ndani wanalia ya ni wanatiha huruma
2026-08-19 17:59:34
18
mandendile243
mandendile243 :
kaka ushawachoma wenzio na hii video maana lazima watakamatwa nchii inaendeshwa na sheria
2026-08-19 15:45:50
19
buuyman3
Abuu 01🇮🇷 :
Broo gari ina bima hiyo analipwa gari mpya
2026-08-19 16:20:29
12
janjarotruckdriver5
JANJARO TRUCK DRIVER🇹🇿 :
Ahaaaaa okay ✅
2026-08-19 18:45:56
1
officiallymd45
officially Charlie Md :
jera sasaiv kama hawana ma milioni ya kulipa
2026-08-19 15:46:34
5
complexcompanies01
Smith Motors Tanzania🇹🇿 :
Kaka umekusanya ushahidi wa Kutosha😁
2026-08-19 18:17:06
2
qis59916
qis :
serikali ipo mbioni kufunga hizi boda boda ni kero kubwa sana 😭😭😭
2026-08-19 18:27:13
2
msouth.the.badest8
Denis Nicholas :
Angalieni hii video isije ikatumika kama ushaidi
2026-08-19 16:29:38
2
kibegtozz32
Lamar_🚚 :
Apo tatizo shule ty 🙌🙌
2026-08-19 18:26:00
2
the__code__man
Mr_G_•°• :
siku moja izo asira kali zita waponza 😂 kuna mali ya mtu haiteketei bure ivo hata kama ana hatia nina ushaidi 🙌🙌🙌 sio poa kabisa
2026-08-19 18:30:49
2
user11955298049286
seif hinte :
boda boda hata akiwa na haki ataonekana hana haki kabisa usione boda boda wakorofi wala hawana ukorofi mnavyo zani shida awanathamani wakipata shida mungu tusaidie 🙏
2026-08-19 18:40:55
1
prosperitymaarifa
In god we trust :
Hawa wote wanatakiwa wakamatwe na walipe ,viongozi wao wote waswekwe ndani
2026-08-19 18:51:20
1
zamani231294
zamani🧔 :
Ushachoma wenzako 😂😂
2026-08-19 17:32:19
1
www.tiktok.combrownst
@stenoinfluence🍁🍁🍁 :
kwaheshiìiiiimàa
2026-08-19 14:30:41
0
hamisi.ndosi3
Hamisi Ndosi :
subirini kuokotwa
2026-08-19 18:51:50
1
wadudu.wote
Wadudu Wote :
walio gongwa na roli kwenye bodaboda mmoja wao namjuwa kafariki hapo hapo na hanafanya kazi kkoo na ni rafiki yngu wa kutaniana sana kuhusu migambo wa rod na jana tumeachana vizuri leo asubuhi nasikia tarifa yake et kafa ndo halikua anakuja kazini kumbe mauti hakimsahau mtu kama namuona halivyo kua msheshi kwa sauti yake unacheka mpaka mbavu leo sina wa kupiga nae stori ondoka kamanda wangu wote safari moja jamaa kaacha mke na watoto pacha wa miezi 3 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-19 17:24:00
0
priscategery
Momy JR :
ila bodaboda jaman
2026-08-19 16:50:09
0
mohamedibusigaa
Mr.CRANE'S🏗 :
Yan gari imewaka mpaka imeisha na karibu na BANDARI na fire zipo pale mbili😂😂....
2026-08-19 16:19:38
3
realcop_official
doɔlɐǝᴚ🇹🇿✊ :
Yan hapo yanaona yamefanya jambo la kishujaa
2026-08-19 18:36:35
1
alishantombaga0
chuga og :
Ivo tuu
2026-08-19 17:27:27
1
polepoletz
polepoletz :
kitu tulokosea Africa kuruhusu bodaboda kuwa public transport
2026-08-19 18:02:22
1
sundaygregory
silenthunter :
kwenye hyo boda ndio alikuwa na makosa aliingia njia kubwa bila kuwa makn
2026-08-19 21:26:01
0
amirihusein2
AMIRY ALBARAJ :
mnaanza vita na hao madereva wa lori ee
2026-08-19 21:02:55
0
mohamedibusigaa
Mr.CRANE'S🏗 :
hizo gari nyingi hasa trip town haizina brakes wakuta dereva alijitaidi awezavyo lakin akashindwa ....huku mbalai huwa yana pitilizia sana kwenye machine
2026-08-19 16:21:41
0
To see more videos from user @pabloo.efx, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About