@farhankihamujr: #creatorsearchinsights

Farhan Kihamu
Farhan Kihamu
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 08:44:11 GMT
68390
3812
112
119

Music

Download

Comments

ibraheemizone
heem Izone :
I LOVE MY COUNTRY 🇹🇿
2026-08-20 05:02:11
0
user1286987800192
salva :
strait of hormuz of Africa
2026-08-19 19:56:08
0
chosen.one2683
chosen one :
Tanzania ndo USA 🇺🇸 ya East Africa 🌍 😎
2026-08-19 16:07:53
0
clever9140
clever9 :
katika vitu muhimu chadema huwaoni
2026-08-19 11:43:19
15
balomastory
baloteli wa kitunda :
KWENYE VITU MUHIMU COMENT CHACHE SANA
2026-08-19 10:51:07
35
meddyhavans
Meddy Abdul :
Yo, what a move👏
2026-08-19 09:01:15
1
bonphace.kisara
Bonphace Kisara :
respect brother🫡🫡
2026-08-19 12:34:54
1
kennedysangali3
kennedysangali :
let talk now
2026-08-19 20:07:37
0
mrwolf9111
Young LÀÎŻƏŘ :
nahitaji aina hii ya watu kama hawa niwafollow
2026-08-19 21:00:40
4
kayombo.andrea
Eng.Kayombo Osb :
Brig Sijaona Myala wangemuacha pale Rts Kihangaiko alikuwa amepaweza sana.
2026-08-19 09:22:09
12
linusbirondwa
linus :
ivi bro una kazi gani maana nakubali sana 👏👊
2026-08-19 09:29:35
11
abra8265
Abra :
wao wenyewe wameamua Hizo operation zao ziwe classified Ops wewe umekuja kuzisema kwa majina 😂😂😂😂😂
2026-08-19 12:06:52
4
dvydm2
DvydM :
lakini nina swali hizi zote ni strategic moves ndio lakini are they long term strategic moves huko zambia ukianguka uongozi wa hichilema huko mbele maslahi yetu bado yataendelea kulindwa huko congo vita vikizidi ushawishi wetu utaendelea kuwepo vipi uganda tunahitajibkufanya uwekezaji mkubwa utakaotulipa mbeleni hapo ikiwemo silaha uzalishaji na utulivu wetu wa ndani sanasana
2026-08-19 10:32:06
1
mkuu.wa.kayaa
King Of Usambara 🇹🇿 :
professor kijana wa mwaka wambele elimu kubwa kwanjia nyepesi kabisa🫡🫡🫡
2026-08-19 09:16:55
5
enock.makoga
Enock Makoga :
kwenye mambo ya nje tunaenda vizuri sana lakini kama ndani hakupo vizuri hata hayo mazuri ya nje hayatakuwa na maana yoyote maana bila wananchi kuwa huru kwenye nchi yao na utulivu na amani ndani ya taifa hayo mafungamano hayatakuwa na manufacturing yoyote, taifa linahitaji watu,aridhi,siasa safi na uongozi Bora wa kweli ili kupata maendeleo ya kweli
2026-08-19 12:54:32
2
besterscloset1
𝐁𝐞𝐬𝐭𝐞𝐫𝐬𝐁𝐫𝐚𝐧𝐝 :
story ya mkuu wa mkoa imeishia wap
2026-08-19 17:08:14
1
user4783031416257
H30R :
uwa ukiongea masikio yangu nayapa utulivu Mkubwa ili nielewe Unachozungumza big up
2026-08-19 09:26:56
1
baba.naa2
BABA MII :
Tanzania inakuwa get way kwa kigezo gani? kenya wanafwata democrasia
2026-08-19 09:48:23
0
clever9140
clever9 :
haya mambo yaserikal ukiyafatilia kwa umakini utagundua hizi serikal kuna watu wanaziongoza ambao sio hawa tunaowajua
2026-08-19 11:47:46
8
chosen.one2683
chosen one :
Nilitamani sasa wapinzani wa Tanzania wakishikamana na serikali ili nchi ipate maendeleoo
2026-08-19 16:13:27
3
user1728737234378
J mongo :
Dogo una akili sana,, nakufatilia sana, unajua vitu vingi,, ukitulia utafika mbali sana Big up
2026-08-19 12:45:11
2
king_nsangilaii
Nsangila II 🌟🏆 :
sijawahi kupita video yako kak
2026-08-19 17:22:07
1
mkemia.official
Mkemia Official :
Ukweli mtupu umesema, watu wamekalili maendeleo ni yale unayoyaona kwa macho, ila hawajui hayo ni matokeo ya mchakato ambao huwezi kuuona kwa macho bali kwa akili. Lazima ujue kushindana na mpinzani wako na kuwavutia majirani zako wawe washirika wako wa kibiashara.
2026-08-19 12:11:39
3
cornelthomas8
UNITED🕳️ :
FARHAN pongezi sana aseeh unafanya tuone jeshi letu linafanya KAZI kitu ambacho watu wengi wanadhani wamebweteka tu shukran sana ,KAZI zinafanyika sana naam
2026-08-19 16:48:48
1
marxist_18
Mussa Mazao :
Vipi Kuhusu ziara ya Rais wa Misri
2026-08-19 09:02:51
1
To see more videos from user @farhankihamujr, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About