@esko_donald: Mtumishi Isaya anasema yeye kwa siku anakula mara moja tu! Tumfunike Isaya na Mwavuli wetu kupitia Airtel namba 0691337252 (Extravery Urassa) #TheUmbrella #TheUmbrellaFoundation #sns
Imagine kuona njaa kama lawaida 💔💔💔😭😭na vile chakula Tanzania ni cheap. Let's learn to appreciate God 🙏 😌
2026-08-19 19:23:15
0
V🍇🍇 :
tujifunzeeee.tukome kutupa chakula ni DHAMBI
2026-08-19 10:26:29
410
lexie :
kil nikion video ya uyu nascroll maan ntalia
2026-08-19 20:42:44
0
Realbieh :
Tujifunze kushukuru katika kila jambo 🙏
2026-08-19 09:33:13
217
🐻🍫 :
TABASAMU USONI.MAUMIVU MOYONI 🥹💔
2026-08-19 09:46:23
123
Upendo :
Mungu nisamehe🥺nakula na kusaza na sishukuru 😔😭
2026-08-19 17:36:07
31
Judithmongi :
kaka naomba nna chochote kitu nimpatie naomba namba please
2026-08-19 12:26:44
64
Chichi🧚♀️💜 :
yuko wap niwe nampelekea chakula kila siku
2026-08-19 10:55:32
67
👑momo🐿️🌸 :
Licha yayote anafuraha🥹🥹
2026-08-19 10:17:26
14
Vaileth Magege :
kicheko usoni ila moyoni anamaumivu makubwa sana anataman atoe machozi lakin palipo esko tunaamin Mungu ameskia case yake
2026-08-19 10:30:49
31
BIASHARA_ZA_JACKIE🍃❤️ :
Mungu Mimi napitia changamoto...Lakini naomba nisikulauma na nisikusahau Mungu wanguh...Yeremia 33:3
2026-08-19 09:30:20
22
ritty :
Mbali na magumu bado anatabasamu jaman uwii🥺
2026-08-19 09:38:45
16
jackyBless :
We maisha wewe🥹🥹🥹
2026-08-19 09:43:17
1
nesterjuliana1 :
Naomba namba nimtumie chochote japo nami niwakawaida tu ila nimeguswa🥰
2026-08-19 16:28:23
7
obeid edward :
life is not fair 💔
2026-08-19 09:37:56
0
STANSLAUS NGUNDA :
Nimekaa dar 10 years with 5 years kama hustlers ila actually dar kazi (Mishe) zipo za kumudu maisha lakin inahitaji network kuzipata lakini huyu kijana mwenzangu pengine hana network ndio maana Kafka hapa lakin Mungu ana mkono wake atainuka wallah mi toka nasoma chuo nilikua saidia fundi mtiifu na nilimanage hata kulipa Kodi ya 70k monthly ad pale nikaajiriwa lakin huyu kijana mwenzetu hata network ya kutosha ila naomba Mungu atampa uzuri anaonekana n mpambanaji haswaa
2026-08-19 09:48:26
47
Ms-Mchami❤️🩹💫 :
Ee Mungu nisamehe nilipolalamika😭🙏 kaka Esko barikiwa🙏
2026-08-19 10:03:20
14
Gatty_Royal_Cakes👑🎂 :
😭😭😭Ehee Mungu tuepushe na Umaskini.
2026-08-19 09:40:51
14
glorygideon uzao mteule :
najikuta nalia tu nikikutana na clip za huyu mpambanaji mwenzangu.tabasamu usoni ila maumivu yake Mungu anayajua