Wa Tanzania na toko Congo musininyime like uyu jamaa ana jua kuchana
2026-08-19 21:11:17
1
Kau_shubaa📸 :
umetisha 😂😂😂
2026-08-19 18:59:25
0
@Prince👑❤️tz🇹🇿 :
toen remix🤔
2026-08-19 19:37:28
0
0742566058 kopta wizzy :
nakubal kaka kopta wizzy hp
2026-08-19 16:46:02
0
Agnes Carlos :
unajuwa bwana mbaka unakela
2026-08-19 18:00:48
2
Yangu Mazuri :
Jamaa mmoja alilala mlango wazi kwa bila kukusudia..!! baada ya mda akakimbizwa mwizi, yule muizi alipoona mlango upo wazi akaingia na kujificha, mwenye nyumba alipokua anajigeuza mwizi akakimbia, asubuhi kulipo kucha yule jamaa akaona begi la hela ndani kwake..!! jamaa akawa Tajiri, Sasa kuna jirani alipogundua utajiri wa jamaa alivyoupata basi na yeye siku moja akalala mlango wazi..!! Sasa kwa bahati mbaya simba aliingia ndani...!! 🤣🤣🤣 weneye D2 washanielwa kwa story fupi kuhusu huyu jamaa anaemnibu SALLU..!!
2026-08-19 20:03:21
4
m. sei😡 :
umeuwa kaka Fanya li mix naeeh itakuwa pow san
2026-08-19 11:37:23
1
CHIEF OF THE CHIEFS 💪... :
Unajua watu wa hip-hop vzur nkutajie WA3 Tu alafu jifananishe nao ww uko nyuma sanaaaa FID Q 🐐, STAMINA, BANDO MC
2026-08-19 11:12:12
4
jibrile tsongo :
ume uwa sana KK 💪💪
2026-08-19 10:37:08
1
Dogo ndege 45 :
sio pow
2026-08-20 19:41:47
0
mama wa pisi 3 :
2026-08-19 09:39:09
1
To see more videos from user @26bad_tz, please go to the Tikwm
homepage.