@mathayosangason: Mnaswma kirahisi sababu sio familia zenu zilizofanyiwa hivyo ila ingekuwa familia yako sidhani kama ungesema hivyo ๐—Ÿ๐—ฒ๐˜'๐˜€ ๐—ง๐—ฎ๐—น๐—ธ ๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐˜‚๐˜ #๐—Ÿ๐—ผ๐˜ƒ๐—ฒ #๐—ฅ๐—ฒ๐—น๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ #๐—™๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ #๐—•๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ฒ๐˜€๐˜€ #๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ต #๐—›๐—ฒ๐—ฎ๐—น๐˜๐—ต #๐—ฃ๐—ฒ๐—ฟ๐˜€๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—น_๐——๐—ฒ๐˜ƒ๐—ฒ๐—น๐—ผ๐—ฝ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐˜ #๐—ง๐—ฟ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ป๐—ด #๐—Ÿ๐—œ๐—™๐—˜

๐— ๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ฎ๐˜†๐—ผ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ
๐— ๐—ฎ๐˜๐—ต๐—ฎ๐˜†๐—ผ ๐—ฆ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 09:37:21 GMT
4681
323
38
11

Music

Download

Comments

danny_brown_tz
danny_brown_tz :
mungu ni snichi snichi sana
2026-08-19 11:10:11
4
abongo_ze_great
Abongo :
Usisome biblia kama gazeti Mungu ni Mwaminifu kwa akili za kibinadamu utakuja kukufuru kaka acha kabisa Mungu sio Muuaji soma vzr
2026-08-19 11:56:04
2
putin9345
putin :
ilikuwa kwaajir ya ulimwengu lakin kuna mengi watuwanakutana nayo zaid ya hayo so sio point muhm kaka
2026-08-19 10:36:52
1
stonekid29
stonekid29 :
tutaelewanaa tuu twende taratibu kaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2026-08-19 11:01:04
1
jowllymilly
jowly :
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kweli Bible ni kama bongo movie
2026-08-19 10:06:00
1
mwanakijiji255
tusome wote :
wewe unatakaje sasa
2026-08-19 13:17:26
0
safarilushinila
Safari Lushinila :
ila duuuuu jambo la kufikilisha et
2026-08-19 18:56:13
0
baba.tiffah2
Baba Tiffah :
Dah aibu naona mm
2026-08-19 16:05:36
0
user4783497373431
Mi@m shift ๐Ÿ‘ฝ :
Aibu naona mm shetani anapendwa kuliko mm๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2026-08-19 16:59:27
0
abiya0113
Abiya :
nasio kufa tu walikufa vifo vya mateso na je Mifugo ilikuwa na kosa gani mazao yalifanya nini Ayubu aka pigwa kwa magonjwa yasiyo pona
2026-08-19 14:22:49
0
mosecharl
moses gospel :
yeye ndie aliyenipa uzima alichagua niishi ko anaweza kuchagua chchte pia
2026-08-19 12:43:41
1
gwamanya12
Mfalme Gwamanya :
tafuta pesa kijana, mambo ya Mungu huyawezi
2026-08-19 10:41:11
2
astonwinston
Aston John Carter :
Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. [1 Wakorintho 2:14] UKITAKA KUELEWA VIZURI NENDA KAANZIE KUSOMA 1 Wakorintho 2: 9 mpaka 15โ€ฆ BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI AU STORY TU ZA MTAANI.. MUOMBE ROHO MTAKATIFU AKUFUNULIE MAANA YA HAYO MAANDIKO
2026-08-19 11:29:03
2
user2242612271065
pappayake mafresher :
kwanza shetani hayupo visingizio too
2026-08-19 20:19:43
0
africain.noire28
user88693361932 :
sio mimi bwana aue nani?
2026-08-19 13:33:50
0
mike.tyga1
Mike Tyga :
kwani ukifa wewe unapata hasara gani
2026-08-19 16:34:01
0
fr.chillo
FR-CHILLO COMEDY :
mambo ya mungu achia ma pastor wafanye biashara tu๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2026-08-19 14:42:08
0
dr_chris7
Dr_chris7 :
Kwahio umesoma kabisa ukaona Mungu ndio aliwaua watoto wa Ayubu
2026-08-19 15:34:21
0
emhustle
EmHustle :
duh!kwel bwana content creator ni weng siku izi,usitafute followers kwa kumdhihaki Mungu kak,fanya utani na wanadamu na sio Mungu.
2026-08-19 19:55:39
0
labanez0
LABANEZ :
upuuzi ni neno kuamini ndo linasababisha upuuzi mwingne wote
2026-08-19 17:24:00
0
pekeeelisha
alikeblian :
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2026-08-19 10:25:49
0
To see more videos from user @mathayosangason, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About