@atuganilemwakosya: “TUREJEENI KWENYE NAFASI YA MAOMBI, MAMBO YANAHARIBIKA” — MWAKASEGE “Turejee kwa Yesu. Mambo yanaharibika, lakini tunanyoosheana vidole.” — Mwalimu Christopher Mwakasege ametoa wito mzito kwa wanamaombi Tanzania 🇹🇿 kurejea katika nafasi yao ya kuliombea taifa, akisema waombaji wengi wameacha jukumu hilo. Akirejea mfano wa nabii Elia, Mwalimu Mwakasege amesema Elia aliendelea kusimama katika maombi kwa ajili ya nchi yake, hata baada ya kudhoofishwa na vitisho vya adui yake Yezebeli. Alisisitiza kuwa katika nyakati za udhaifu, waombaji wanahitaji msaada na nguvu kutoka kwa Mungu ili kuendelea kusimama. 📍 DAY 2 | KONGAMANO LA 18 LA MAOMBI YA KITAIFA linaendelea leo hapa Dodoma, likiongozwa na Mwalimu Christopher Mwakasege, huku maelfu wakikusanyika kwa ajili ya kuliombea taifa la Tanzania. 🇹🇿🙏 WITO NI MMOJA: TURUDI KWENYE NAFASI YA MAOMBI. #Atumedia #KongamanoLa18 #MaombiYaKitaifa #ChristopherMwakasege #Tanzania
Atumedia Gospel Tv
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 10:26:00 GMT
Music
Download
Comments
dr_silajulius :
Mungu unirehemu na mimi mwanao kusimama kwenye zamu sawasawa na wewe Mungu unavyo taka.
2026-08-19 14:31:13
10
Sweetcute_jewelry ❤ :
YESU NIREHEMU
2026-08-20 04:49:15
2
imelda1808l :
Mungu naomba unirehem
2026-08-19 21:53:45
2
carolinemushi499 :
Yesu wangu,Mungu wangu nirehemu mi mwanao
2026-08-20 08:39:23
1
gracekessy3 :
Mungu azidi kuliinua Taifa letu..Ahsante Mungu kwa ajili ya Mt wa Mungu Mwl Chrstopher na wana maombi wte🙏🙏🙏
2026-08-20 02:28:23
4
naomi :
BWANA NAOMBA UNIREHEME SJAWEZA KUSIMAMA KTK NAFASI YANGU KWA UWAMINIFU 🧎♀️➡️🧎♀️➡️🧎♀️➡️🧎♀️➡️😭😭😭😭🙌🙌🙌
2026-08-20 07:32:50
2
CHRISTINA✝️ :
hakika hatukusimama kwenye zamu zetu MUNGU turehemu🥹🥹🥹🥹
2026-08-24 09:07:30
1
I,M FRANK :
Mungu aturehem tu
2026-08-24 07:21:25
0
Reuben Jacob :
Yes tuamshemoyo wa maombi katika nchi yetu
2026-08-20 06:41:32
1
Janeth Yaredi :
BWANA NAOMBA UNIREHEMU MIMI MWANAO. .NA UNISAIDI NISIMAME BWANA.
2026-08-20 18:26:28
1
Mumy💚 :
Yesu nilehemu nilejeshe kwenye nafasi yangu
2026-08-20 05:49:34
1
CEO.william mnyambeu 🇹🇿 :
Mungu wa majeshi simama nasi
2026-08-23 17:15:13
0
julianalissu75 :
Moy unaniuma mung tu Rehem
2026-08-23 19:41:02
0
imelda mwakingweimelda2@gmail. :
nireheem Mungu wangu
2026-08-22 08:26:48
0
user8821940256169 :
Mungu turehemu wamama tumesahau wajibu wetu wakuomba kwa ajili ya Taifa letu,Turehemu Eee Mungu
2026-08-20 05:35:40
1
vailethAbel :
nilehem bwanaa,
2026-08-22 04:21:39
0
mery otimali :
amen
2026-08-19 12:51:31
1
Joyce Meyer :
Ameee baba ni ukweli usiopingika TZ tunatakiwa tufanye maombi ya rehema kwa
2026-08-21 22:05:53
0
barikijgeorge :
MUNGU IBARIKI INCHI YETU TANZANIA AMEN
2026-08-24 10:02:30
1
Mdachi mdachi :
napataje haya mafundisho ya kongamano hili
2026-08-24 14:21:57
0
user4241061298499 :
AMEEEN KUBWA BABA
2026-08-20 19:32:15
0
richardluvingo :
Glory to God
2026-08-20 12:00:50
1
user6592655146869 :
amen 🙏 Mungu atulejeshe kwenye zamu yetu
2026-08-20 08:05:43
0
Jonas Mbonja :
mmh nirehemu Mungu wangu
2026-08-20 07:45:37
0
user6087907422108 :
Mungu ni rehem na mm mwanao kwakutokusimama kwenye zamu yangu baba nikumbuke baba🙏😭😭😭
2026-08-19 17:17:51
0
To see more videos from user @atuganilemwakosya, please go to the Tikwm
homepage.