Luka 23:31
Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?
2026-08-20 09:41:50
5
Mussah Rimoy :
mh apo huyo ni mwanashelia vip kwatusio jua haki zetu???
2026-08-20 06:42:35
6
azora :
mambo ya sheria kwa askari!askari ni ubabe unabe tu
2026-08-19 17:37:03
5
Kereyani Edward Julias :
Nchi yangu Tanzania kweli ndo hii au sasa tupo malawi
2026-08-20 06:25:04
3
AlikoAlikanto :
Wasafi nawakubali
2026-08-19 16:47:11
4
Ryn boo :
duuh hii nchi hapana sasa
2026-08-19 16:04:31
4
youngtozi :
zembwela tutakufuatilia maana unatoa madini sana mzee wetu
2026-08-19 20:09:35
4
MONTANA OG :
Kwan wamesha muachia
2026-08-19 17:18:27
0
user6937335090805 :
🥺🥺🥺🥺Tafakari
2026-08-20 08:51:43
1
mazombi :
nimewapenda bure
2026-08-20 11:50:58
0
Romanus :
jamani angalieni wasafi isije kufungiwa jamani
2026-08-20 11:23:56
0
Nickolaus :
Nchi yetu inazi kuwa mbaya Tuokowe mungu wetu tumefika pabaya sana TANZANIA 🇹🇿
2026-08-20 10:53:52
0
Aisha Habs :
dah hawa polis wamechanganyiwa sijuw
2026-08-20 12:26:34
0
shukuru :
kweli kama mawakili wenye akili mingi wanafanyiwa hivi je kwetu sasa
2026-08-20 11:40:00
1
bacaryjuma :
Ila babuuuu😁
2026-08-20 14:12:03
0
Dr.Sikamona :
HATUTOBOI KWELI
2026-08-20 06:18:40
1
Helmes :
Mwanasheria huyo,, alafu tupo kina sisi ambao hata kifungu kimoja cha sheria hatukijui.
2026-08-21 08:20:01
0
frank seme :
kabisaaa ndugu zangu mpo sahihi Mungu hawalinde daimaaa
2026-08-19 16:29:14
0
Ishaah :
duu ihayali sana
2026-08-20 04:02:08
0
Mshobozi :
tz
2026-08-22 04:36:06
0
Burhan_Abdallah8 :
Yan m-Tanzania mwenzenu anaelezea hisia zake tena kwa uchungu namna alivyo fanyiwa vitendo visivyo vya haki, nyie mnatoa taarifa kwa jamii huku mna chekacheke, Yan mnaonyesha dhahiri ni jinsi gani mna enjoy wanayo pitia wenzenu.
Badilikeni ndugu zangu mambo kama haya c ya kucheka cheka kama mnavyo fanya, ni mambo ambayo yanatakiwa kukemewa na kuonyesha mshikamano pale mwenzetu anapopata tatizo na c kukaa mezani na kucheka cheka.
Siku zote wakili Madeleka hajawahi kuizungumzia namfsi yake pekee, Bali huzungumzia haki za kibinaadamu kwa ujumla (Wa Tanzania kwa ujumla) na nyie mnakaa mezani kuchekacheka as if mmefurahishwa na kilichomtokea W-Madeleka. Ila na wakumbusha tu, wali wa msibani ni mtamu sana ukiwa msiba haukuhusu.