samahani naomba kukuliza je kama ameondoka yeye mwanaume kamuacha mke wake nyumbani kwa muda mrefu bila mawasiliano yoyote inakuwaje
2026-08-19 11:51:17
4
mziwanda wa mama❤️♥️🌹🌹 :
Allha atupe maelewano mazuri kwenye ndoa zetu inshallah
2026-08-19 11:32:22
12
Mamu Jj :
nakubaliana na wewe lakini siezi kaa mahali napigwa,Bora nijiendee kabla sjauliwa
2026-08-20 03:58:16
1
MAMA wa watu 💖💖 :
subhannallah 😥😥 tulioko ndoani kazi kazini 😥😥😥😔
2026-08-19 15:01:53
2
Mummy Moha :
Je ukimaliza kuswali kabsa mpk dua ushamaliza alaf ushute swala ipo ama
2026-08-19 19:15:08
0
Lucy Mlelwa :
kama ni miaka 20
2026-08-19 11:52:45
0
mtumwa :
shehe mm nilikuwa ninae mke lakini mke huyo alikuwa akinidai talaka kila siku bila ya kosa lolote mm nikamuambia talaka sikupi yeye akamua kunikaba roho kwa nguvu mm nikamuandikia talaka moja bila ya kutamkiaa yakwamba nimekuacha jee shehe talaka imesihi naomba jibu
2026-08-20 15:03:33
0
kingi :
shukurani zaka Allah kheri
2026-08-19 13:43:20
1
Shiffah mkemae :
samahan shekh apo kwenye suala la kukasilika umesema kwa upande wa wanaume jee ikitokea mwanamke amelala na hasira dhid ya mumewe inakuwaje na vp yule mwanaume ambae kila siku anamtuhumu mkewe kuwa ni mzinifu hii ipoje
2026-08-20 08:36:06
0
seshambi :
sahihi kabisa
2026-08-20 12:23:45
0
fatmaallyaly :
iyo inanihusu mm kbs
2026-08-20 06:40:22
0
hadijaissa540 :
kama alikufukuza yeye mwenyewe
2026-08-19 20:54:06
0
user9357858297509 ummy nalmat :
Allah Akbar Allah atunusuru kbx
2026-08-19 21:46:27
0
user5053111821567 :
asalam alykum shekhe, naomba kuuliza ni njia Gani sahihi ya kuzuia mimba Kwa mujibu wa dini yetu ya kiislamu?
2026-08-20 07:02:44
0
Ninah❤️ :
Mm nilijivua kwa kadhi
2026-08-19 19:05:42
0
Aisha R :
subbahanah allah
2026-08-19 11:29:50
0
Raziah Nechesa :
Allah akbar
2026-08-19 20:57:31
0
Mpaji ni Mungu☝️ :
Allah atuongoze duniani na akhera
2026-08-19 14:39:20
0
Triple J :
kama Mimi nilifanyiwa matharau ya Haina hio na akaenda akaolewa na mwingine na handi wa Leo sijawai muona tena
2026-08-19 14:34:54
1
Bundara Justine :
asalaam Shekhe naomba unijuze je yafaa kujitibu kwa kujichanja chale naomba unijibu tafadhal