Abuu Sulaymah pelly :
maswali twawaulizeni, na twaomba msitumie kauli za matusi na kuvunjiani heshima baina yetu.
je, hayo aliyotaja jalala ndio masharti ya hayo maulidi au ndio nguzo zake.
je, huo mkusanyiko kwa ajili ya hayo aliyoyataja, alifanya mtume au maswahaba baada yake, sisi hatukatai kuwa kuna mambo mazuri ndani yake, kama kusoma Qur’ani, japo kuna muda pia yanachanganyikana na mambo ya munqarat kama alivyotaja Al Imaam Suyutw رحمه الله
je, kama ndio mrengo huo mtuambie asili ya jambo hili ni wapi kwa ujumla kwa wajihi wake lilivyo, kwamba maswahaba walifanya hivyo au limekuja baadae tu karne za mbali,
Na je, kama mtume صلى الله عليه وسلم hakufanya jambo hili kwa wajihi huu, na twawaulizia pia kuna ibada ambayo mtume aliacha kuufundisha umma wake, hapa kwa namna yoyote jibu ni hapana, kama ni hapana je mtume amefunfisha ibada inayoitwa maulidi?
Allah atuongoze, na atupe thabat kwnye dini yake.
2026-08-23 08:31:07