@tz360news: Mkurugenzi na meneja wa Basi la @tilisho_safaris wakiletwa mbele ya alaiki wakiwa wamepigwa pingu za Polisi mara baada ya kukaidi agizo la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.

TZ360NEWS
TZ360NEWS
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 12:12:46 GMT
122273
3525
782
594

Music

Download

Comments

eunis456
Eunice 🥰 :
sijafurahishwa na hiki kitendo 🤨
2026-08-19 14:15:25
171
samwelsimon001
TZ 001 :
kwanini msiwalete watekaji hivyo
2026-08-19 14:08:37
274
giftedsonm
Gifted :
Asee huu ni udhalilishaji watu wa mabasi inabidi wafanye jambo
2026-08-19 14:06:21
162
hey_its_fredrick
hey_its_fredrick :
KIPI CHA KUFURAHISHA LABDA? 💔😢
2026-08-19 13:44:38
97
allynkusa
allynkusa :
hiyo sio sawa kbs walipa Kodi mjue hao
2026-08-19 13:52:59
106
kidundafamily
Jiwe kuu la pembeni :
sijapenda hata kidogo ndo nini sasa
2026-08-19 13:42:31
55
maggiemkabahati
user6662279456460 :
was the pingu necessary
2026-08-19 14:08:39
1
user69618748352120
babayaga :
content created
2026-08-19 13:35:24
2
wamlevimasaka
wamlevimasaka :
mimi simba dam
2026-08-19 13:55:04
2
rose.mwaipaja8
Rose wa jo 2808 :
mhhh hiii kama movie la kihind
2026-08-19 15:10:40
1
evelyne2366
EVY❤️🌸 :
Sahawa maskini wenzangu wanafurahia nini
2026-08-19 14:47:08
18
ludovick.august.m
Ludovick August Mushi :
mnamleta mbele ya alaiki ili iweje ndio muonekane mnafanya kazi sana au
2026-08-19 13:42:48
109
jasmine.awili
Jasmine Awili :
atafute mwanasheria kwanza kabisa kwa kosa la kudhalilishwa ana haki zake hata kama ana makosa
2026-08-19 14:32:57
42
samybeautypoint
samybeautypoint :
sio haki jamani
2026-08-19 14:54:20
7
mallessaonegoldf
MALLESSAONE GOLD MINING &FARM :
aaaah under carpet
2026-08-19 13:28:42
4
user1284165656790
user1284165656790 :
Do jamn 😔
2026-08-19 17:27:29
0
wity.hair
Wity Hair :
Mlipa kodi anazalilishwa ili kiongozi aonekane anajua sheria 😳😏
2026-08-19 14:09:16
19
user771867699
officialvaki :
kwan alifanya nn jmn😊😊😊😊
2026-08-19 14:01:42
12
mickmill_27
Mickmill_027 :
Hii haijakaa sawa kabisa,
2026-08-19 13:52:25
6
msmagge0
ms magge :
asee Ila watu wabaya Sana wanapenda kuona watu wanaingia kwenye matatizo sasa hapo wanashangilia nini?
2026-08-19 15:31:08
5
secilia.ptk
secilia ptk :
dah vina mwisho jamn wamemdhalilisha
2026-08-19 13:48:10
16
itc_sp
itc_sp :
kazi yakurudisha mabus mbezi ni nzuri namna kazi inavyofanywa ni mbovu na udhalilishaji
2026-08-19 13:51:15
31
mbondejr
. :
kama ni me nasimamisha fari mwezi mzima kwanza ukiuliwza natafakari biashara ya kufanya pia mwenyekiti akemee hiki suala sio sawa
2026-08-19 13:50:01
16
viannahlydia
Viannah_lydia💜✝️ :
watekaji mmewahifadhi wanalipa kosi ya serikali mnawapiga pingu
2026-08-19 14:19:36
29
vee.amii
vee Amii :
daah TANZANIA yangu🥺 iv au bas ila sijaona cha kufurahia wala
2026-08-19 13:55:59
7
To see more videos from user @tz360news, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About