@binaupdates: Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam Albert Chalamila amemsamehe Mkurugenzi wa mabasi ya Tilisho aliyekamatwa kwa kukaidi agizo la Mabasi yote kuhamia kituo cha Mabasi cha Mbezi Magufuli. Msamaha huo ameutoa Leo Agosti 19, 2026 baada ya kutembelea kituo hicho na kumtaka Mmiliki huyo ahamishie mabasi yake yote Mbezi na afunge Mara moja

Bina Tv
Bina Tv
Open In TikTok:
Region: EN
Wednesday 19 August 2026 12:20:25 GMT
121667
4537
189
137

Music

Download

Comments

hanc.kata
hanc kata :
kinajiamulia sana mambo iki kimjamzito
2026-08-19 13:28:49
57
asma.philipo
Asifiwe philipo :
Huyu chamilla yupo sahii 100%
2026-08-19 13:32:15
16
derick.buberwa
derick buberwa :
Iyo mahakama naomba itumike kumsamehe tundu lissu
2026-08-19 12:57:35
71
luckytreey
Goodluck :
sio msamaha ila ni nguvu ya pesa
2026-08-19 13:10:05
26
juma.mwasu
Juma Mwasu :
bos hanuniwi
2026-08-19 14:08:03
2
sylviamhumba
Cecy,Cathe💕 :
Ebu fikilieni watu wanaotoka mbagara chanika na Kigambn
2026-08-19 14:00:11
10
immah.bk.king
JAY📊📈💸 :
kwahiyo Gari zinazopita bagamoyo ziende bezi ndo zirud tena ubungo
2026-08-19 13:19:34
11
temba74051
temba :
anavyoongea utafkiri raisi sio unatoa msamaha ayo nimaelekezo unepewa kutoka juu
2026-08-19 12:46:04
27
mushauri.wa.rais
mushauri wa rais :
kwa nini vijana hamutaki kupigania katiba mpya
2026-08-19 12:34:28
3
user1583520725848
Mercedes-Benz Ujerumani :
hii biti mpaka nimemkumbuka jpm
2026-08-19 12:49:50
7
zuhurabuzaragi
zuhurabuzaragi :
HIVI mmewafikiria wananchi wanaoishi mbali NA MAGUFULI STEND
2026-08-19 12:57:11
4
yeunicemeena6
yeunicemeena :
Ni amri ya serikali ila tuangalie na upande mwingine ahsa mtu unatoka kigamboni hukooo mbali sio ferry mpaka uje ufike ukatafute usafiri tena huko walipoamishia jamani wengine wageni na kuongezeana garama tu maisha enyewe magumu mbona mtu kujitanulia matawi ya kampuni yake ni maendeleo tu ndani ya taifa shida iko wapi🥲💔🙌
2026-08-19 13:06:30
3
innocenturasa
simeon john :
ccm oyeeeeee nakupenda rais wangu ajae
2026-08-19 12:29:02
7
karimu.rashid
Karimu Rashid :
imekaa vibaya tz
2026-08-19 14:32:02
3
jessica_michael21
Jessy Store🦋❤️ :
Ila TILISHO NI BRAND BAS TU HAMJUI MBON MABAS MENGINE ABOOD HAMSEM BM MENG TU BAS TU BABA WA WATU ALIKOSEA KUJITAMBULISHA KWENY HUU ULIMWEMGU WA WASIONA HAKI ILA UR THE BEST MM NI HR NA HI NI MOJAWAP YA KAZ YAKO SINA KZ BUT KEEP GOING UR THE BEST MANAGER MUNGU AKUTANGULIE
2026-08-19 14:21:53
6
muodally
Muod Ally :
mmemzalilisha sana
2026-08-19 14:19:14
4
jameswapili
The code breaker :
Kwani kuna tatizo gani mabasi yakapakia kwenye vituo vyao halafu yakapita na mbezi kuchukua abiria halafu yakaendelea na safari shida iko wapi?
2026-08-19 16:13:25
1
user1583520725848
Mercedes-Benz Ujerumani :
uongozi unatakiwa hv
2026-08-19 12:50:14
8
ufoo1982
Ufoo1982 :
wakushangilia kama kawaida!!!!!!!!!
2026-08-19 13:14:27
0
mellan.store
MELLAN STORE🛍️ :
😳😳
2026-08-19 14:05:41
2
aloycejames209
Malcolm X jrr :
mpeleke mahakamani tuone utamfanya nn
2026-08-19 14:15:03
4
ochuurimbo
ochu_urimbo :
hii nchi inachekesha kama sio nchi yako
2026-08-19 15:05:06
4
festomaro
29_mobilestore :
iv Magufuri stand itatosha kwer mana kuna kampun zinatoa mabus shazi kwa wakati mmoja —ile stand itatoboa kwer au kutakua na upotezaji mda na msongamano kua mkubwa sna na vulugu
2026-08-19 13:20:22
3
sam.mahela0
sam mahela :
hii sauti kama ya magufuli ee
2026-08-19 14:19:15
3
user8576117412862
Colin mhema :
mahakaman
2026-08-19 13:35:00
3
To see more videos from user @binaupdates, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About