Naumu :
@Kirchemaan:Wafu wote amboa ni watakatifu,wanahifadhiwa kwa njia ya heshoma kubea,kwa sababu,mifupa ya watu wa mungu Ina dhamani kiimani,mwenye anaomba mbele yake update anayo ya omba kupitia mwobezi wa huyu mtakatifu. lakini Kuna AI siku hizi,hatuwezi kujua ukweli kwa kuona video tu na kusema ni ukweli.
watu wanapigania maiti kwa nini? kwa sababu hiyo ni aliyekuea mpendea wao, kanisa pia inahifadhi wapendea wake ,wale walioishi maisha mayakatifu,na miracles mingi imefanyika,kwa wale wanahiji kwa mahali hao walihifadhiwa,wanapokea majibu ya mambo Yao kwa sababu ya maobezi ya hiyo mtakatifu.
Mtu anapataje kuwa declared mtakatifu katika kanisa katoliki? tafuta hiyo process kwa AI. lakini mapaki ya watakatifu ni ya maana sana katika kujenga Imani ya mkristu . soma 2kings 13;21, aliye kufa alipata uai tena wakati mwili wake ulikusa mifupa ya Nabi Elisha. Mambo ya ya katholik inafuata yslio kwa bibilia, mifupa ya watakatifu kama ya Elisha ni ya dhamani.
Mt 22;32 kwamba Mungu ni mungu ya walio ai,Abrahamu,Isaac na Jacob, ilhali hao walikuwa wafu kitambo.kwanino Mungu akasema hivyo. Mt 17:1-18. Musa alikuwa amekufa kitambo, lakini hapa Yuko anaonekana na yesu. Rev 7;1-7, in ongea juu ya watakatifu huko mbinguni. wakituomea sisi .hizi ni tifitisho kwamba hao wako karibu na mungu na ata relics Yao ni ya maana relics inaweza kuwa sehemu ya miili Yao au nguo zao na kadhalika,
"Baltimore Catechism, question 223, confirms this by teaching: “We do not pray to the crucifix or to the images and relics of the saints, but to the persons they represent.”"
2026-08-20 05:41:45