@bakesgalore: Huu wali ni mtamu balaa 👌🏾 **Baada ya kutoa vitunguu nilipunguza mafuta nikaacha kidogo sana ndio nimekaangia kuku.. **Zima jiko wakati unalayer chakula chako na ukimaliza washa jiko kwa moto wa chini kabisa.. Je, ungependa kula wali huu na kuku, nyama au samaki? Niambie kwenye comments hapo chini… Usisahau kulike hii post, save na kushare na marafiki. #WaliWaTandoori #MapishiYaLeo #PishiNaMimi #MapishiRahisi ChakulaKitamu FoodieTZ Jikoni

Bakes Galore
Bakes Galore
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 12:24:33 GMT
3443
145
4
32

Music

Download

Comments

jokha.seif5
Jokha seif :
mashaallah
2026-08-25 18:22:30
1
msann07
Anna :
tumiwa mchele wa kawaida,basmat mimi huwa sishibi😌
2026-08-19 12:38:35
1
bakesgalore
Bakes Galore :
Enjoy the video 🤗
2026-08-19 12:24:59
0
To see more videos from user @bakesgalore, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About