ehhhhh musitudanganye akuna ushirika kati ya nuru na giza
2026-08-19 19:04:52
12
Alex Sarumbo :
😂 waminini Yesu achaneni na mafuta ni chukizo
2026-08-20 10:30:43
4
Kokwenda :
ata mfanyeje mwamposa ni mtumishi wa mungu.
2026-08-23 04:52:11
3
Matha Zakaria :
ivi kwanza kiwanda cha mafuta hayo Kiko wap nashindwa kuwaelew🤣🤣🤣
2026-08-21 10:01:24
5
Dolisi noeli Noeli wandwe :
kweli mafuta hayoo mimi hapana
2026-08-20 17:51:00
5
queen mumy6 :
nilisema sikusema?
2026-08-20 10:27:06
3
Zena Shirima :
Hii ni vita na washindi ndio sisi
2026-08-24 10:34:54
1
safari gilr :
m mafuta hapana
2026-08-22 10:55:33
1
Tani tz 0126 :
watu tutaangamia kukosa maarifa jamani du
2026-08-21 19:11:34
1
Nelly Wakunze :
dhuu Mwamposa Mungu amtunze amefungua maisha ya watu wengi
2026-08-22 13:59:26
1
mamuh :
sema tu ni mwa
2026-08-19 17:27:12
1
Annamarie :
Cku MUNGU Akitupa macho, hatutaamini 😭
2026-08-20 07:07:06
1
Rudo Daniel :
MUNGU awe upandewetu daima
2026-08-20 13:29:40
1
Kalinjuma Elias :
Ee Mungu sikia watu wako wanavyojivika vyeo vikubwa 😓
2026-08-20 04:38:01
1
Elieka :
ukweli ni huyo ni mwenzako tunaujua tunaujua vitu vingi sana ukweli akuna mungu muumba mbingu na nchi hapo ninajua mwanzo mwisho Tanzania ndivyo ilivyo si huyo tuuuu wamejaa asante Kwa kuweka wazir Bado watakuwa wazir kabisa asante Mimi mamlaka yangu ni ya mungu aliye hai asha niwe hivi hivi lakini nitamuabudu mungu milele
2026-08-22 05:47:17
2
kyakimwa Rebecc56542784207787a :
Ila wanadamu wanapenda kuchonganicha duu
2026-08-19 21:30:56
0
charline♥️ :
ya nini nijiunge😱😱😱
2026-08-19 19:12:42
1
mama eliana :
how can i get in
2026-08-19 13:14:41
5
Gospel contents :
uongo
2026-08-22 14:46:44
0
samweli :
acheni faraka someni biblia, kwani inasemaje kuhusu nyakati za MWISHO??? hayo yote yapo na hayana budi kutokea maana imeandikwa kuhusu manabii