DEMMO KINGDOM 🎥 :
ipo hivi👉 mimi nilikuwa moja ya muhanga katika wimbi hili la kutokumuamini MUNGU kabisa kutokana na maombi ya muda mrefu bila majibu,nilikwenda ibada,nikafunga ila sipat majibu, hii ilinipelekea kutokumuamini MUNGU kbs Tena nilipokutana na mawazo mengi kama haya huku ticktock yanayopotosha.Lakini inatakiwa ufaham ya kuwa MUNGU ni halisi kabisa, ni Ili kumfaham huwezi kumjua kwa vitab vya dini, kumjua MUNGU ni personal experience yako mwenyew na MUNGU,Kuna mahali inafika unakataa tamaa kbs,unashindwa kwa akili yako alafu ghafla unapata msaada,we unaweza dhani ni kitu Cha kawaida, kingine ukitaka kumu... experience MUNGU nenda ICU hospital kwa wagonjwa wasioweza hata kuongea alafu MUNGU anamtoa hapo🤔. unapaswa kufaham hakuna kiti kinatokea katika hakuna, it means ukiona gari Ujue Kuna aliyetengeneza so ukionaa Dunia,jua,bahari,ukijiona ww,faham kbs kuna aliyevifanya hivyo, so usije ukathubutu kufikiria kbs hakuna uwepo wa MUNGU unakosea sana😞. ukiona umefikia hapo jua kbs unakaribia kuwa kichaa. kwahiyo usipotoshwe na mtu yeyote,we mwenyew tu kaaa chini tafakar, ingekuwa ni mpango ulioletwa na watu, mbona wazungu wenyewe wanamwomba huyu MUNGU, kama unashuhudia Kuna watu wanalogwa nakuwa vichaa, unashidwaje kuamini uwepo wa MUNGU🤔. GUYS USITHUBUTU KUTILIA SHAKA UWEPO WA MUNGU🤝
2026-08-20 14:30:27