@wangsooo.quotes: #creatorsearchinsights watu mna loho ngumu sana mnge chelewa kidogo ilikua imeenda tena sms ya pili inaingia nipo kwa wakala tena nilikua naingiza code๐ญ๐ญ๐ญ๐ซต๐ซต๐๐๐๐๐๐๐๐ฐ๐ฐ๐ฐ
ndo maan mm kwenye lain ina deni hela iikiingia tu automatic ikatwe kwanza ๐๐
2026-09-04 10:30:13
32
MFALANYAKI FURNITURE :
mna uwakika mapenzi yanauma
2026-09-05 18:26:27
7
MSUKUMA TECH :
2,500,00019.ndio shingp
2026-09-04 19:52:25
6
Loveness Aloyze :
kinacho kuliza
2026-09-04 21:27:58
3
mom p :
me sichezagi mbali na cm jaman juzi nilikuwa Nina elfu 6000 tu kwenye cm ndo nkawa nawaza nkatoe lakin nkawa najivutavuta sana mala nkaona muamala umeingia kuangalia ni 11000 harafu ckumuonba hat mtu nkaenda kutoa nikaitumia yote lisaa limoja baadae napigiwa cm ety niiludishe hela alikosea kutuma ,mm ckukataa nilikubali nmeiona ndy na nmeshaitumia tayali kwahy CNA hata mia hapa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ndo maana mimi huwa sichezi mbali na xmu yangu hata kama ipo chaji lazmw niwepo na kila msg ikiingia lazma niikague usikute huyu cm hakuwa nayo hadi muamala ukarudishwaaa ndo akakuta hzo msg tuuu daaaah inauma sanaaa!
2026-08-20 06:08:17
11
C5H10 :
@C5H10:ndo maana kilasiku nawaambia simu zenu ziwe mkononi na ziwe na chaji muda wote hamtaki kunielewa ona sasa๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ
2026-09-04 15:04:05
5
Lulu nicholaus :
utajir unakuja na kupotea mbele ya macho yako ๐ ni huzun
2026-08-30 16:44:05
3
safnat๐ :
Duh
2026-08-19 16:24:07
4
pjmaster23@ :
Dah!!!
2026-09-02 18:25:07
1
Asimwe deus :
๐๐๐๐
2026-08-27 07:31:15
1
mujahideen 01 kahiru :
hilo Salio ni uongo, baada ya muamala kuingia
2026-08-20 06:56:17
2
Petro Mathew :
namm nauludisha
2026-09-04 19:45:33
2
Jennifer :
ningelia siku mzima mungu nimekukosea nn๐คฃโบ๏ธ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
2026-09-05 10:11:43
1
teddybear๐ซ :
my situation ryt nuw with nmb๐๐
2026-09-04 10:29:51
1
rbc :
kwan kwa maneno unaisomaje msinifokee jaman cijui
2026-09-05 16:30:02
1
R msomal :
ungekuwa unadaiwa na songesha hapo wangekata yao itakayobaki ni ya kwako, tujitahd kukopa mitandao ili bahat kama hiz zsitupte
2026-09-05 16:04:53
1
To see more videos from user @wangsooo.quotes, please go to the Tikwm
homepage.