@dr.tungu: ACID REFLUX INAKUSUMBUA? USIISHIE KUMEZA DAWA BILA KUJUA CHANZO! Acid reflux (asidi kupanda) inaweza kukusababishia kuungua kifuani, kiungulia, ladha chungu mdomoni, kujisikia chakula kinarudi juu au usumbufu baada ya kula. ⚠️ Kama dalili zinajirudia mara kwa mara, usizipuuze. Angalia ulaji na mtindo wa maisha, na tafuta ushauri wa mtaalamu wa afya ikiwa zinaendelea. 💬 Comment “ASIDI” nikutumie elimu zaidi kuhusu acid reflux. #acidreflux #fy #afyayatumbo #afya #tunguwellness