@kipaza_afrika_mashariki: ⚡️🇹🇿 Kilomita 345 za njia ya umeme zimefikia hatua ya mwisho! Mradi wa Chalinze–Dodoma umefikia 99%, ukiibua mabadiliko makubwa kwa Gridi ya Taifa na hata SGR. 🚆🔌 Nini hasa kinabadilika? 🎥 Tazama video kufahamu kinachobadilika na kwanini SGR itanufaika!#tanzaniatiktok #ugandatiktok🇺🇬 #kenyantiktok #KIPAZA