@nuktatanzania: Akizungumza leo Agosti 19, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaonya madereva wa mabasi wanaokaidi maagizo ya Serikali kwa kufuata maelekezo ya waajiri wao, akisema dereva anayemfuata tajiri badala ya kusikiliza maagizo yake familia yake itamsahau kwani atampeleka mahakamani na kumfunga.
ukiliangalia hili swal kwa undani chalamila yupo sawa
2026-08-19 19:08:21
44
Eden Herbal :
Ila mm naona ni saw tu kabisa
2026-08-19 18:37:40
17
Sweetynana💕 :
Hapo kweny kumsahau😭
2026-08-19 18:44:00
14
Wilson Kabula :
ahaha hapo sio haki kabisaa,hapo l not suporting nothing can be something,😁😁
2026-08-20 11:17:12
0
Ibrah.anyimike :
nchi ngum sana
2026-08-19 17:52:58
10
Jeff Ryder744 :
Vina Muda baas,,,, Uzuri Bus na Malori ya hapa Nnchin Mengi n ya Wakuu wacha Inyeshe tuone panapo Vuja.
2026-08-19 18:08:32
23
Maalifa Mbange :
inaonekaana rais amesafili ngoja akiluud tumsikie nayy anaamuwaaje🤔🤔
2026-08-20 05:30:52
5
Medy Rashidi :
Nchi inaendeshwa kwa sheria na kanuni sio matamko ukijisikia tu eti familia yake itamsahau dah
2026-08-19 18:24:46
5
toll mnyama :
watanzania hiyo stend imejegwa kwa madhumuni ya mabasi pia miji yote iliyoendelea duniani stend aiwezekani ikawa mjini lazima iwe nje ya mji pia mbona wakati wa hayati magu hivi kuna mtanzania anaweza kusema neno huyu mkuu wa mkoa ni mtendaji yupo chini ya mh rais mama samia hii ni amri sio ombi.
2026-08-19 18:18:58
5
baby Rose :
tuna kujuwa mzee wa sifa
2026-08-19 18:46:00
5
Seleman Lufuge :
BIG UP mr cM
2026-08-20 10:49:52
0
Dyud... :
hao wanaoshangilia n madereva au abiria ..
2026-08-20 04:12:55
1
JOHN MWEJI :
Kuna issue ya service pia...basi ni lazm lifanyiwe check up garage na garage zipo mjini....tusije tukaanza kusafiri na mabasi mabovu mabovu..,tuangalie hilo pia, thanks
2026-08-20 06:54:30
1
Chifu MUGODAYIBARUTI :
Ujue kinachogombaniwa ni nini
watu wa Mabasi hivi stendi c zipo ?
kwanini wasiende tu Stendi kila Mwananchi akajua na kufika Stendi
2026-08-19 18:42:54
2
hekaheka mtoni :
MNGEANZA NA KWARA NINGEONA MMEFANYAKITU
2026-08-20 14:34:54
1
Uweje Selemani :
safi kabsa serikali 💪💪💪
2026-08-19 20:37:39
0
user1644186783078 :
huo ni uongo
2026-08-19 18:11:09
1
salha :
madereva wote gomeni tuone wasafir wataendaje mikoan alafu wao watoe magari Yao wenyew
2026-08-20 05:22:26
3
Luphotopesa :
hongera mkuu wamkoa
2026-08-19 19:06:24
0
Yaya saka :
hizo sio Kaulitz ukiwa kiongoz😭😭😭
2026-08-19 18:15:27
2
Christina tumaini :
mnatukomoa mtu anashika manzesa anashishiwa mbezi Bado mnatupa wakati mgumu
2026-08-19 23:57:52
1
AFRICAN KING 🤴 :
sasa watafanyia service wapi
2026-08-19 17:49:40
2
Jackson :
watu wa kaskazini wamenda kukata tiket tegeta
2026-08-19 17:42:34
3
beamerloops garage :
mkuu wa mkoa umewasahau na watu wa ist🤣
2026-08-19 23:37:48
0
To see more videos from user @nuktatanzania, please go to the Tikwm
homepage.