@hopechanneltz: Septemba 5, 2026 — #MamboYoteMapya; #Tumainilinaanziahapa Kila mmoja wetu ana nafasi ya kushiriki kuwafikishia wengine ujumbe huu: Mambo yote mapya; Tumaini Linaanzia Hapa Tumia mitandao yako ya kijamii kushiriki ujumbe wa matumaini, kuwafikia marafiki, familia na watu wengi zaidi. Usiishie kusikia habari njema ishiriki na mtu mwingine. Yesu anakuja, na mambo yote yatakuwa mapya!