@dunialeo_: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa onyo kwa madereva wa mabasi ya mikoani wanaokiuka maelekezo yaliyotolewa kuhusu utaratibu wa kutumia Stendi ya Mabasi ya Magufuli. Chalamila ametoa onyo hilo leo jijini Dar es Salaam, akisisitiza kuwa madereva na waendeshaji wa mabasi wanapaswa kufuata maelekezo yaliyowekwa na Serikali kwa ajili ya kuhakikisha usafiri wa mabasi ya mikoani unafanyika kwa utaratibu. Amesema hatasita kuchukua hatua za kisheria dhidi ya madereva ambao watakaidi maelekezo hayo, akieleza kuwa wanaokiuka utaratibu wanaweza kufikishwa mahakamani.#dunialeoUPDATES
DuniaLeo
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 17:59:11 GMT
Music
Download
Comments
philipo-bey :
MKUUU NAOMBAA UTARATIBUU ULUDII TENAA KAMA DHAMANI MAANA WATU WA HALI YA CHINI NA WANAFUNZI TUNA PATA TABU KUFIKAA NYUMBANI
2026-08-20 13:57:21
1
Leyla :
MbNa Tilisho Daaah
2026-08-20 07:47:43
2
AFSA USAFIRISHAJI DOM TOWN :
leo kidog niingize roli apo kumb ni mabasi tu
2026-08-20 10:12:40
10
Sauli Mwakyusa :
hiyo kauli ya familia itakusahau angekua ameongea mtu mwingine tayar ingekua uhaini
2026-08-20 11:55:57
17
Aunt Maggie :
We baba Mbn huna huruma jamani mbezi mbali mnooooo
2026-08-20 10:40:51
15
humudymwalimu :
Mbona Abood bus zipo magomeni
2026-08-20 09:06:50
6
Lucy M :
yani mume wangu usimusikilize Chalamila usije kufukuzwa kazi si tulale njaa bure msikilize bos maana ndiye aliye kupa gari
2026-08-20 11:50:59
9
HENDRIX_55 :
wa Mbagala Mbande kwa hili tujuane tu
2026-08-20 17:57:25
3
james :
Sawa kabisa Shelia ifwate,hata kama unapesa fwata Shelia.
2026-08-20 05:36:03
5
Mwombeki :
Kwani kufunga pingu ndo shida?
2026-08-19 20:05:07
6
corzacane senders 👟🥿🩴 :
wafanya biashala stand ya magufuli munafurahia
2026-08-20 08:38:17
3
Abillah :
Serikali kuu ingilie kati haya mambo ya mtu mmoja kujiamulia mambo sababu watakaoumia ni rai wa chini
2026-08-20 09:07:46
4
Ngowi Jr :
familia yangu mpo tayari kunisahau au mnasemaje
2026-08-20 09:37:15
1
Theverybigshop :
Secta binafsi 70% utekelezaji Dira2050. Dola trilioni 1 ya Dira2050 tutaisikia tu kwenye redio....
2026-08-20 06:13:24
2
official arinu baby :
jamani ukitaka kusafir adi stend ya magufuli kweliii tulionahali duni tutakomaaaa
2026-08-20 04:43:29
2
𝕤𝕚𝕞𝕓𝕒 𝕔𝕒𝕥 :
Akiniachisha kazi TAJIRI Mweshimiwa nitaishi vp Sasa
tuangalie Naupande wapili ambao ndio unanieshimisha kweny family
2026-08-20 09:28:10
1
Shadrack Manumba :
sema hii ni faida kwa bod boda na bajaji daladala
2026-08-20 12:16:56
1
Ibrahim Ally :
Safar hiii Madereva kaz tunayo cjui tumsikilize Boss anayetulipa mshahara au Mkuunwa Mkoa kaz tunayo safar
2026-08-20 20:10:58
0
Familia :
Magufuli oyee.Haya ndio mambo yanayotakiwa
2026-08-20 07:54:02
3
Boniphace Ludovick :
safi sana mku wamkoa kazinzur
2026-08-20 05:06:45
1
user6834693472253 :
watutatulie folen za daa hizo
2026-08-21 06:45:00
0
Abelly Mtega :
Hivi vyeo vya kupewa vinakua na shida gani eti
2026-08-21 06:13:33
0
mahseinhabib :
MABASI YANAGOMA NDIO DAWA
2026-08-21 04:32:36
0
Eva :
uko sahihi
2026-08-21 04:21:33
0
Mjassi_captan :
movie
2026-08-20 02:37:22
0
To see more videos from user @dunialeo_, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.