@gospelhub11: Mtetee kwa Gharam Yoyote #creatorsearchinsights #happysabbathwishes #prdavidmmbaga #sdatiktokers #AdventistGospel @MAHUBIRI TV @Sda Together @Sda Tanzania

Adventist Gospel
Adventist Gospel
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 19:16:43 GMT
50390
2689
114
731

Music

Download

Comments

lenamwaniki
lenamwaniki :
forgive sinners and instruct them the right way n right paths to follow
2026-08-20 10:25:13
1
user16971937609798
Alice Jy :
sioni nikitetewa
2026-08-20 07:36:40
4
bock.philipo
Bock Philipo :
Siwez kutetea mambo ya hovyo lazma kosa lisemwe kusudi atake radhi .
2026-08-20 06:50:48
6
johnyvia
user5380614417398 :
sema huyo mke atakuheshimu sana😃 na utapendwa
2026-08-20 05:34:35
17
madmg2
MADAM G :
mi nilikoseya mbele ya dada yake amna rangi niliacha ona
2026-08-20 15:05:43
7
papy.yaleya
Papy yaleya :
kweli mtupu
2026-08-20 15:45:19
2
joyce.samwel41
Joyce Samwel :
🙏🙏 Mchungaji barikiwa sanaaa
2026-08-20 15:15:45
2
user9433973461685
user9433973461685 :
mme wangu anamtetea mchepuko sana kuliko mke
2026-08-20 13:56:05
4
masai9294
Dr.Angel Losai :
tusemee baba angu🥳🥳
2026-08-20 07:29:29
5
jacline915
jacline :
mi atanitetea Yesu mume sitaki
2026-08-19 19:35:05
4
kyelisam
kyelfanu :
tunajiteteaga wenyewe
2026-08-20 10:09:10
4
user8545393772841momri
mom RI 💕 bites :
mmmhh
2026-08-20 14:37:07
1
fxjesus416
Fx Jesus :
Uko sawa kabisa Pastor ila swali langu kwanini wamama wengi hawafanyi ivo kwa baba zetu 😎
2026-08-20 19:53:43
1
estherondara618
Esther Ondara :
wanaume wengi huwa wanaegemea upande wakwao
2026-08-20 08:00:11
1
inviolathaalexander
inviolathaalexander :
make hapo kwanza ni👇
2026-08-20 19:41:11
1
tchatchah
Chacha Bin Chacha :
kule chumbani hakusikiiii hata urekebishe vipi, inakuwaje? 2. unamtete mkeo amemwongelesha mama vibaya, je mama yy anahisije wakati wa utetezi wako? 3.Ni vyema kurekebisha kwa upendo na heshima, aliyekosewa yy anatetewa na nani kwa gharama zote? babako huyo. 4. utagombana na baba kwa kosa la kumtetea mkeo na kumdhalilisha mkewe. mimi nafikiri hivi.... mrekebishe mkeo wote wakisikia ila kwa namna ya upendo na heshima haswa kwa kosa la hadharani.
2026-08-20 08:59:04
1
lola.cute97
mom😍&Daughter💋👑 :
🥰🥰huyu ndio wangu kauli yake hiyo hataki kusikia mawifi wananisema me
2026-08-20 19:41:05
0
bintimwaipopo
bintimwaipopo :
Wangu tena ndio anazidi kukufukia
2026-08-20 15:08:00
1
user20458687049634
deborah :
amn
2026-08-20 04:36:20
2
oculy000
Oculy000 :
akinitetea hivyo sidhani hata kama nitakosea tena,
2026-08-20 08:23:01
1
zainabukalinga2
zainabukalinga120 :
uwiiiii Mimi nilisilibwa ukweni na yeye mwenyewe Hadi Leo Sina hamu na kiumbe huyu na Sina mawasiliano na ndg wa mume, ngoja tulee watoto jamani.
2026-08-20 15:40:15
1
afyayamwanamkeniutajiri
Afya ya mwanamke ni utajiri :
Amina mchungaji kwanza mm huwa sipend mke wangu adhalilike mbele ndugu zangu kwanza watakoma alafu nikitoka tunayamaliza
2026-08-20 07:56:15
3
user69561297462661
David. The French Master :
PR. David nimekufollow na mi ni David Leonard nakusalimu sana
2026-08-20 06:28:45
2
mwasirazaro
Estar chandaruah :
sema ukiwa unafanya hivo utapendwa na mke pasipo kuuelezea mtu huo upendo 🥰
2026-08-20 06:07:18
2
www.brackwhite
🤓KDM :
Amina
2026-08-19 19:53:37
3
To see more videos from user @gospelhub11, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About