@albiman55: Nasaba haitoshi bila imani na matendo mema. 🤍 ﴿قَالَ يَا نُوحُ إِنَّهُ لَيْسَ مِنْ أَهْلِكَ ۖ إِنَّهُ عَمَلٌ غَيْرُ صَالِحٍ ۖ فَلَا تَسْأَلْنِ مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ ۖ إِنِّي أَعِظُكَ أَن تَكُونَ مِنَ الْجَاهِلِينَ﴾ “Akasema: Ewe Nūh! Hakika yeye si katika watu wako; hakika yeye ni mwenye matendo yasiyo mema. Basi usiniombe jambo ambalo huna ujuzi nalo. Hakika Mimi nakuusia usiwe miongoni mwa wajinga.” 📖 Hūd 11:46 Nasaba haitoshi bila imani na matendo mema.#kenyantiktok🇰🇪 #blowthisup #fyp #islamic_video #jihadfisabililah