@dr.owden20: Dalili kuu za kinga ya mwili kushuka. Sababu zipo nyingi ila sababu kubwa ni Maambukizi ya VVU 📌Kama hujapima: PIMA 📌Kama umepima na umegundulika una maambukizi ya VVU: TUMIA DAWA VIZURI NA WALINDE WENGINE 📌Kama umepima, kwa bahati huna maambukizi: JILINDE Je, ungependa kupata virutubisho vinavyosaidiana na dawa za kufubaza VVU kuongeza kinga ya mwili haraka? (Cheki inbox) ❤️🔥USIACHE KUTUMIA ARV KWA SABABU YA VIRUTUBISHO❤️🔥📌📍