Aliiwahi niambia achana na huyo kijana nilimwacha ila nilipopata wapili alisema huyo baki nae atakuoa tu na ikawa ivyo
2026-08-20 11:22:17
8
Bruno david :
ikiwa umeokoka kweli ndoa unaijenga mwenyewe maana kumbuka adui wa mtu ni yule wa nyumban mwake so mzazi kama nimshilikina hawez ruhusu uolewe na asie mshirikina
2026-08-20 15:01:56
7
Nailath :
ni kwel yan mama anaonaga mbali
2026-08-20 10:07:04
3
Itiqa_collections :
No thank you🥰📌
2026-08-20 09:22:17
2
Dee_decor tz🇹🇿 :
Hii Niko na ushuhuda nayo
2026-08-20 12:50:53
2
Pasquizer :
Niruhusu mzazi anichangulie mwanaume
2026-08-20 12:32:11
2
LUNE NOELLINE :
najuta kwanini sikusikiyaka shauri ya bazazi
2026-08-20 10:56:42
2
mabamba :
baba na mama ndo watuwako waukweli katika hidunia
2026-08-20 08:50:29
1
𝓐𝓶𝓸𝓻𝓮 ♡ :
Aaaahn wazazi hawa hawa au prophet 😂😂😂
2026-08-20 07:48:19
2
prinses sasha🤑 :
kanisa lipo wapi
2026-08-20 07:28:09
2
Mariamu Nkungu :
Mume wangu aliambia ishi na huyu na mwanamke ni make wa ujana wako akanikataa akasema hapendi ni mbaya akaniacha na mtoto moja kwa sasa huyo mwanaume hajoa na ana miaka 51 anatanga na dunia