Ila ningependekeza serekali ya znz ingewaandalia fungu la hawa vijana kila mwezi kwa kila mmoja sababu kazi wanayoifanya ni kubwa sana na inatambulika karibia dunia nzima hiki kitu sio rahisi kama mnavyodhan wanachangia kipato kikubwa kwenye serekali na kuongeza watalii mbali mbali na wakubwa sana hili tulifanyie kazi tafadhali 🥺
2026-08-20 17:55:43
5
binhaji :
kuna huy rasta apunguze matusi sio vizr
2026-08-21 06:21:25
1
uprising501 :
Bob Marley ,Get up stand up.
2026-08-20 13:41:39
0
arqamu :
mungu abrk cnaaaas
2026-08-20 09:13:28
0
Bin Rshid :
wa boda boda je?
2026-08-20 11:23:23
0
lameck agustino :
Wafungulie chuo cha ufundi wapate ujuzi. hiyo sio ajira mkuu.
2026-08-20 18:47:03
0
Mr Balad :
Safi sana Mr Sema tena
2026-08-20 18:59:22
0
mr ashy :
mashauwa mungu wafanye wepes kwakila hatuwa duwa
2026-08-20 18:51:35
0
Breezy 🏖️🍁🃏 :
Soteee
2026-08-20 10:08:27
0
user7272420742597 :
mnafanya kazi nzuri sana ndugu zangu hongereni mungu awasimamie, Ila nakuombeni please tafuteni ujuzi wa nyimbo nyingne ili kazi yenu ipate kunoga vzuri
2026-08-20 14:03:45
0
icc_isaq :
Sio viatu tu, makachu peke yake hayatoshi pia.. wawezesheni.. serikalinkama serikali mkinunua jetski 20 tu mkaziweka forodhani hawa vijana wakazungusha wageni.. serikali ita generate kipato na vijana wakaongeza kipato chao, na kodi zitaongezeka.. kuna jet cars wageni wengi wanapendeea hvo vitu..
2026-08-21 09:35:24
0
Arif Dadah :
wasaidie ambao hawajiwezi sio hao hao vijana wana nguvu zao
2026-08-21 12:27:23
0
LEVEL_1 :
Tunawakubali sana,ila kuna baadhi wanapenda sana matusi kwenye clip zao sio vyema wanajiharibia
2026-08-20 20:50:47
0
A ZANZIBAR :
angalien Sana washaona fursa 🏊🏊🏊
2026-08-20 15:42:26
0
idrisa nikiyi :
YULE ALADII AONDOKE WASIMPOST ANAHARIBU NA PALE FORO ASIWEPO
2026-08-21 07:37:50
0
bad man :
😂😂😂😂😂😂😂😂wadanyanye
2026-08-21 04:11:07
0
Arif Dadah :
mhe unawasaidia vijana hao miguu yao mizima mikono mizima kwa wasifatafute kazi stone stone nyumba nyingi wananchi wanaoishi Hali duni kwanini usipite nyumba Hadi nyumba uwape msaada unaenda kuwapa vijana mikono miguu mizima watafute kazi hata karanga wauze
2026-08-21 12:25:28
0
yussufabeid4 :
Hyo ndio kzz ya vijna wetu kwenye hilii taiffaa jamni wadada wanaenda pae uchii uchi ss tunsherekeaa jmnii dahhh mithnii
2026-08-20 21:32:37
0
Chieframsy tz :
Kwan makachu ndo vitu gani😂😂
2026-08-20 20:22:18
0
IMU BWAY tz :
KIONGOZI WA KWANZA TAJIR ZANZIBAR wengine dhiki tu
2026-08-20 23:32:46
0
Muda.sea food🇹🇿 :
🫡🫡
2026-08-20 18:37:33
0
madewe :
🥰🥰
2026-08-20 10:03:09
0
White :
💪💪💪😎
2026-08-21 08:28:40
0
To see more videos from user @ringothedon, please go to the Tikwm
homepage.