yan kaka daah nayachukia mapenz sito kuja kupenda tena nimetendwa mapak nashindwa kuelezea nabak kimya tu😭😭😭😭😭😭
2026-08-20 10:25:31
8
mumy :
kaka. mbona. km umenifikia nawachukia wanaume nimetendwa. mm nisaidie. plz nisaidie
2026-08-21 04:05:28
3
Ukhty Najath :
tufanyi nn sasa jamani😭
2026-08-20 10:44:36
1
khairatadam04 :
tusaidie jaman tunateseka
2026-08-20 14:39:33
2
mamy sss :
kabsaaaa huwez nambia chochote kuhusu ndoa au mapez huwez nambia nikakuelewa
2026-08-20 14:50:02
3
0766333928 :
umeogea kwa uchungu adi mwenyewe nimelia
2026-08-21 03:18:40
1
Lilian Rioba :
Uongo matalau kaka unapenda mtu kumbe anakuchesea tu kaka 😢
2026-08-20 13:00:30
2
Chiku Terra :
daaah acha tuu brooo😭😭
2026-08-20 18:20:56
2
tau🐾 :
dah! kaka unaongea kwel kabisa😢😭najion mimi kabisa yan kwenye hayo unayo ongea mapenzi yamenfanya kitu kibaya mno😢
2026-08-20 10:11:00
3
Ummu Swabrina 🦋✨🤍 :
Mimi hata moyo wangu umechoka maana kila nikijaribu kupenda naishia kutendwa tu mpka nimekata tamaa😭💔
2026-08-26 22:49:12
3
happymlundi :
na wanaoumizwa ni wale waaminifu na wakweli
2026-08-20 21:11:18
2
Ann :
kama mm nime choka Yani nimechoka mapenzi 😭😭ni chungu haki nime choka 😭😭
2026-08-25 18:50:34
2
kenya123- :
sio mwingine ni Mimi hapa, hata Kwa upanga siwezi Tena haki siweziiiiii
2026-08-26 14:16:47
3
mama jonathan❤❤ :
naogopa
2026-08-20 13:02:21
1
user2815033281428 :
kweli broo mm nilikuwa na baba watt wangu nimetoka nae mbali kimaisha alipopata pesa tu aliniacha na nimezaa nae watt 5
2026-08-23 12:47:45
1
Officiall cute :
Yarab nipe nguvu ya kulea watot wangu2 sizan kama mem2 miungoni mwa watu
2026-08-20 17:40:18
2
velmah :
Nilipenda kwa moyo wangu wote, nikavumilia mengi nikiamini mambo yatabadilika. Lakini mwisho nimejifunza kuwa si kila unayempenda atakupenda kwa namna unavyostahili. Moyo umeumia, lakini siku moja utapona. 💔🥀😭😭😭😭😭
2026-08-21 18:58:41
2
mama jonathan❤❤ :
mi kunamtu jana kanambia tuowane nimeshituka jamani ila akitaka kufanya kitu ananiambia sasa cjui ananipenda kwer
unanitoaga machozi kaka mungu akulinde kwakututiamoyo wewe si kamavujana wengine wanao tukashifu sante😭😭😭😭😭😭
2026-09-03 08:13:40
1
Lux Mund :
mimi ndiyo hata sikuwahi kuwa na positive altitude kuhusiana na mahusiano na ndoa na hata rafiki na ndugu wanavyosema i'm not psychological stable wao ndio naona wapo na hiyo shida
2026-09-02 16:05:03
1
mom v :
mapenzi yamekuwa janga kwa kila mtu mi ndo staki kuskia kabisa
2026-09-03 12:53:39
1
🔜✍️ :
Najua Mungu hasomemi comment ila acha nimwachie
2026-09-01 11:34:15
1
my smiley🌹🌹💞💞 :
nilimpenda lakn alionifanyia nikikumbukaa na bak kulia2 jmn
2026-09-03 13:20:03
0
To see more videos from user @cley15_, please go to the Tikwm
homepage.