@dangerlion46: #creatorsearchinsights #quietonthecreek Hii imenikumbusha mbali sana kipindi namaliza kidato Cha 4 wenzangu walifanya sherehe walikuja ndugu jamaa na marafiki ila Kwa upande wangu sikumuona ndugu wala rafiki asee nliumia kinoma hio siku sitokaa nkaisahau ☝️🥹
maskini daah kunaki2 umenikumbusha mwaya pole [Embarrassed][Embarrassed]
2026-09-19 06:47:15
2
official shuu 👌 :
upweke unauma jaman daaah
2026-09-19 02:55:48
56
jojoli😘 :
alaf nikipata ela wanakuja adii ambao siwajuii😂😅
2026-09-19 09:20:51
9
Mrisho Baba :
saloot solder
2026-09-19 08:11:02
6
Lushaina Nchimika :
wale waliotoa machoz polen san
2026-09-15 06:10:50
124
@qadshah :
mimi nimeshazoea kwa sasa huwa silii tena maana la saba nilikuwa sielewi hata haikuniuma kama kidato cha nne ndio nilijua kumbe sina ndugu, kidato cha sita na chuo nikaelewa nilichukua cheti nikarudi kulala hata picha nilipiga kesho yake nililia sana, lakini wakati napata masters nilipata wafanyakazi wenzangu maana niliwaambia mie sina ndugu yeyote hapa duniani hata ninayemjua.sema mungu anajua kusudi lake, baba afe mimi bila hata kumuona mama afe nikiwa la sita na niishi vituo vyo world vision nisijue hata ndugu mmoja hadi leo nimeshazoea mimi mwenzenu najioneaga sawaa tu 😭😭😭😭😭🙏
2026-09-19 11:38:20
22
Afnanwakilo_Makeup :
Jamn inauma
2026-09-19 07:31:53
0
burumo :
duuuuu ,,,allooooooo!inauma,
2026-09-19 03:26:36
0
MR CODE one :
so pain
2026-09-19 09:43:44
0
🎀𝒜𝓁𝒾𝒸ℯ🎀 🫧 :
So sad aisee 🥹🥹🙌🏽
2026-09-19 07:52:00
1
✨️🥷J.A.Y V.O.I.C.E✨️🍀 :
kama umeguswa ganga like apa😔
2026-09-15 17:39:58
23
mwakalinga :
mpka machozi yamenitoka hii kitu imenikuta wakati namaliza form 4 hakuna hata ndugu aliyekuja,ikajirudia tena wakati namaliza form 6 tena niko peke yng bora chuo nilipata mama wa mume wangu coz tulikua tunasoma wote so tukajumuika pamoja,uyatima mbaya sana jamani mungu anipe umri mrefu wanangu wasipitie haya
2026-09-15 18:42:54
172
Amir Khamis :
hakika imenigusa hii
mungu atupe nguvu tuweze kuyavumilia haya majaribu
2026-09-19 07:18:12
7
RASHMA :
kma mimi tu nilivyobaki siku ya passout after parade 😭😭Allah awalaze pahama pema palipo na wema wazazi wangu 💔😭
2026-09-16 06:35:22
10
Mwamba🤭 :
Daah huyu n mm kabisaaa siku y kuhitim nilikuw peke yangu daah😅😅😅
2026-09-14 09:31:30
11
khadijajuma408 :
mbona nalia Tu Mimi jmani
2026-09-16 06:49:30
8
@mr.you.to :
inaumiza jaman ila ndo ukamanda lohongumu ndo chanzochake apo
2026-09-16 10:29:58
5
Nyakamata :
ila inauma sana nyie yani unakuwa kama umefiwa vile kwanjisi maumivu unayokuwa unayasikia🥺🥺🥺
2026-09-16 16:27:12
8
chefas £& :
haya maisha achaa tu wengine tumezaliwa kuja kuteseka duniani tu
2026-09-04 12:27:07
8
MR IBRAHIM RASHID :
🥺🥹😭
2026-08-20 20:41:05
5
M=p Tz🇹🇿 :
tushazoea sisi toka la 7 ad chuo hakuna ndugu
2026-09-15 19:38:01
6
JUDITH WIG STYLIST -TZ :
Mimi pia Sina nduga hapa Dar what about me
2026-09-16 12:07:47
7
Faus seleste🌙💃😍 :
haya yalinikuta nikiwa namaliza form four kwenye graduation ya tycs acha kabisa siwezi kusahau hata kitu kimoja cha ile siku
mm iliwah kunikuta iyo kwenye graduation wenzangu wote wazazi wao wapo mimi sasa sina hata ndugu aliyekuja niliumia ila ndo amna jinsi yalipita na sasa tuna pambana
2026-09-16 09:40:28
5
To see more videos from user @dangerlion46, please go to the Tikwm
homepage.