@johnweliness.solu: VYAKULA SAHIHI VYA USIKU KWA ANAYETAKA KUPUNGUZA UNENE 🌙🥗 Usiku chagua chakula chepesi chenye protini, mboga za majani na nyuzinyuzi. 🥚 Mayai ya kuchemsha 🐟 Samaki wa kuoka/kuchoma 🥬 Mboga za majani 🥑 Parachichi kwa kiasi 🥣 Mtindi usio na sukari 🌾 Viazi vitamu au ugali wa kiasi Epuka kula kwa wingi vyakula vya kukaanga, vinywaji vyenye sukari na milo mikubwa sana usiku. Kumbuka: Kupunguza unene kunategemea pia kiasi cha chakula na jumla ya kalori unazotumia kwa siku. #JohnWellnessSolutions #KupunguzaUnene #LisheBora #Afya #VyakulaVyaUsiku
au ni Kama picha inavyotuonesha unabadilisha na kuvirudia rudia na mchana mtu anakula chakula chochote? kwa maana hapa umetuambia usiku labda utuambia kwa ratiba kamili
2026-09-12 19:36:08
0
J :
siku ngapi Sasa mtu anatumia Kama ni wiki au mwezi day 1 mpaka mwezi au wiki vyovyote anaanza na Nini mpaka siku ya mwisho
2026-09-12 19:33:15
0
BAJUUN BAISSODAN :
ila kuacha wali nazi na mchuzi wa samaki usk kipengere 😂🤣
2026-09-11 12:43:39
2
To see more videos from user @johnweliness.solu, please go to the Tikwm
homepage.