@mkerewemedia: Jeshi la Polisi Mkoani Geita limempongeza Mwenyekuti wa Halmashauri ya wilaya ya Geita na Diwani wa kata ya Ludete , Jumanne Misungwi kwa ushirikiano ambao amekuwa akiutoa kwa Jeshi hilo katika kuhakikisha wanaokoa vijana ambao wamekuwa wakijiingiza katika magenge ya Uharifu na badala yake kuanzisha matamasha ambayo yamekuwa chachu kwa vijana ndani ya Mamlaka ya Mji mdogo wa katoro. Hayo yamesemwa na Kamanda wa polisi Mkoa wa Geita , SACP. Safia Jongo katika kuelekea Maadhimisho ya Miaka 20 ya Polisi Jamii wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mamlaka hiyo sambamba na kuwahasa wananchi kuendelea kuitunza amani ya Mkoa wa Geita .

mkerewe media
mkerewe media
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 20 August 2026 14:12:26 GMT
3018
86
2
4

Music

Download

Comments

pablo.escoba788
Benjamin Netenyahu :
Wazalendo wa kweli hawajawahi kuwa serikalini trust me
2026-08-20 14:18:35
1
To see more videos from user @mkerewemedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About