@dr_daniel_md: VIJANA MPOO Watu wengi wanafikiri oral sex haina madhara makubwa, lakini ushahidi wa kisayansi unaonesha kuwa baadhi ya maambukizi ya HPV yanaweza kuhusishwa na ongezeko la hatari ya saratani, hasa saratani za sehemu ya koo na mdomo. Katika video hii nimeelezea kwa undani ushahidi uliopo, jinsi HPV inavyoweza kuhusika, na kwa nini ni muhimu kuelewa hatari kabla ya kufanya maamuzi kuhusu afya yako. 🎥 Tazama video hadi mwisho ujue ukweli unaosemwa na sayansi. #Afya #OralSex #HPV #Saratani #SarataniYaKoo