relics actually have biblical precedent. 2 Kings 13:20–21 tells us a dead man touched the bones of the prophet Elisha and came back to life
2026-08-21 06:09:48
0
Bernadetha Willam Rushaba :
No matter what Roman Catholic church forever
2026-08-21 07:25:50
0
Eng. Junior :
Orthodox, the best Christian Church ever seen in Ethiopia. 🙏
2026-08-21 00:14:36
1
Rich Auntie :
Tumsifu Yesu Kristo wakatoliki wenzangu
2026-08-21 05:53:49
22
Emiliana Marina Joachim :
Jerome Huss, Martin Luther King…
2026-08-21 06:42:03
0
Rabson Mziray :
I am convinced
2026-08-21 03:40:45
0
LordismyGod :
MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU UTUOMBEE SISI WAKOSEFU SASA NA SAA YA KUFA KWETU......AMINA
2026-08-21 01:46:26
14
Iddy Gelle :
uislamu hauwezi kuvurugwa
2026-08-20 21:19:33
6
Jamrack :
Tumsifu Yesu Kristo....
2026-08-20 22:07:09
9
haule michael :
baba bado sijakuelewa kwasababu kkt namakanisa yote ni yametoka katoliki
2026-08-21 04:04:14
6
man moker :
uko sawa watu hawakubali ukweli
2026-08-21 06:55:05
5
Fatherbishop✝️☦️ :
orthodox ndo kanisa lakn najiuliza kwann halipo africa
2026-08-21 07:40:27
1
Sammy :
uko sahihi mkuu kunywa soda baridiii
2026-08-20 21:09:33
5
lipangala :
hakuna dini dunia ni mifumo tu alio uweka binadamu
2026-08-20 23:24:20
2
Fadhil Kawambwa :
ujumbe umefika.
2026-08-21 06:51:55
2
user4633313265534 :
Hawakua wakiitwa Wakristo kaka Walikua ni Wafuasi wa Nabii Issa.
2026-08-21 02:51:50
1
kevooooo :
vita vyetu si juu ya damu na nyama ,
2026-08-21 05:11:47
0
Limitless Adventures :
kasome historia vizuri. vita ya pili ya Dunia haikuwa na masuala ya udini. na Italy ni catholic chini ya Benito Mussolini ilikuwa mshirika mkubwa wa Germany chini ya Hitler ambao ni Lutheran. issue nyingine kanisa la kwanza la Turkey Lili vamiwa na Jihad na kupotezwa nao na kanisa la ki kristo la muda mrefu ambalo halija chakachuliwa Toka enzi za mitume liko Ethiopia siyo ulaya nenda kafanye research vizuri! la mwisho waumini wote wa ki kristo wanaamini Yesu ni Mwana wa Mungu (Yesu ni Mungu) ref. kasome yohana 1:1-14
2026-08-21 05:27:52
0
Officialzairefamily5 :
kati ya kkkt na catholic nani kaaanza
2026-08-21 07:44:10
0
user7232600687533 :
Umemaliza, haya tumsifu Yesu kristu mtumishi. Asante kwa kuona ya rohoni. Sisi tunaenda kwenye jumuiya hapa
2026-08-20 21:24:05
1
amospaul878 :
simamiaa imani yako mzee wangu..unacho kiamini ww usidhani na wengine tutakiamini
2026-08-20 18:45:43
1
Yahweh :
Mathayo 15
14 Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.
2026-08-21 06:01:24
1
Neema Bahati :
Dunia inaelekea hatima
2026-08-20 22:51:23
2
Henry :
ilikuwaje Sasa Berlin conference ikafanyikia nchi ya Kilutheri?
2026-08-21 06:51:59
1
To see more videos from user @imran.mfalme, please go to the Tikwm
homepage.