@buses_arena: ⚠️ Part 2 #Busesarenatz

BUSES ARENA🤩
BUSES ARENA🤩
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 20 August 2026 15:11:06 GMT
14979
883
60
57

Music

Download

Comments

ngwind_xxl222
ng'wind_XXL😎🇹🇿🚛 :
mamaee Albert Chalamila 1 - 1 Albert kangwanda amechomoa
2026-08-20 18:50:26
0
foremost258ad
Foremost :
Good point
2026-08-20 22:36:43
0
paulkimario7
paulkimario7 :
mzee shabiby nina zawadi yako
2026-08-20 21:20:34
8
adammashasha1
ADAM LUGUM☆ :
yan inauma sana
2026-08-20 21:02:10
5
user5861716073160
Erasto Zawadi :
Serikali tengenezeni ajira Kwa njia zingne sio matukio hili la mabasi ni tukio sio kutengeneza ajira. Kule kituo kifanyen kama inspection center basi.Kama kweli mnajali abiria mbona mnakua ivyo?Unajali boda boda wa mbezi kwani uko mabasi yanapoenda hamna boda? kama Kuna basi linapak kwenye ofisi za serikali ndyo mlizuie na sio Aya mengine ambapo Wana ofisi zao na serikali iyo iyo imechukua Kodi na kuwapa vibali vya stand izo uko katkat ya mji. Kingine ni Kosa Gani la kimfumo haya mabasi yamefanya kuingia dar kuchukua abiria? Mmeshindwa kutengeneza miundo mbinu ya uchukuz kama relief za mizigo ili kuzuia malori kuingia katkat ya miji mnakimbizana na mabasi ambayo hayaweki foleni. Nguvu mnayotumia kwenye mabasi mgeitumia kwenye upanduzi wa bara bara na kuimarisha relief kujenga bandari kavu chalinze ,Dodoma , morogoro na mbagala Kwa mikoa ya kusini ili kuzuia malori katkat ya mji .
2026-08-20 15:56:18
9
officialbaby893
baby G🦋❤️ :
Twende nyuma twende mbele hii coment mkiionaaa msome Leo nimetoka Mabibo kupanda gar ya samoja kwende mwanza nimetoka Nyumbani saaa 6:30 kwende mbezi nimefikaaa kimara foleni yake nipo kwenye daladala nafika mbezi nalipiaaa Mia 300 pale napo nakutaaa foleni kufika kwenye gari Tayar gari imetoka dekika 5 nimechelewaaa na siku ipata gar so ni vizur kuweka gari mbezi Ila kinamna frani inatukataaa na tunapoteza nauli nyingi sana kwa sisi ambao atuwezi panda ndege wala treni inauma. Sana kwenye hili 😭😭
2026-08-20 21:59:29
4
katotooo_45
__V!CTÒR🍀🇹🇿🇿🇦 :
yeap Asante san Mr shabiby umeongea point sana leo ungekuw karib na mm ningekupa hata 700 ya PEPSI
2026-08-20 21:32:57
2
isaningoma
Isa Ningoma :
viongoz hamuangali tabu za wananchi shida KAMA stend itumike mpange tu utaratibu mzuri lakini sio kuamisha mabasi
2026-08-20 20:23:50
2
fuadabdallah18
fuadabdallah26 :
swadakta mkuu
2026-08-20 21:15:51
2
stanley.kadilana
stanley kadilana :
nasubiria bunge wiki ijao
2026-08-20 20:26:51
2
lilianjoachim688
Lilian Joachim :
tuko masikin tumeumia sanaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-20 15:20:04
2
user7961912297443
ZIMBWE JR :
vita ishakuwa ngumu hiii kumeanza kuchangamka
2026-08-20 22:21:52
1
gifted.scents.tz
Gifted scents :
kabisa
2026-08-20 15:17:45
1
wardah04101
Wardah🥰 :
magari yarudi mbezi bhn wee
2026-08-20 21:07:56
0
eden.herbal
Eden Herbal :
shida ni jam barabaran alaf wanaendesh vibaya sana pia malor yaondok mitaan bna mbagala saiv kuna Bandar kavu folen kila siku
2026-08-20 21:19:13
0
gloryalfred6
glory Alfred :
woyooooooooo
2026-08-20 22:33:30
0
itz_me1k
atifuحياة💪 :
waweke Utaratibu mzuri sio kutoa matamko ya ubabe
2026-08-20 22:17:51
0
lilianjoachim688
Lilian Joachim :
ndio babaaaa
2026-08-20 15:19:14
1
user965029513095
fikirini/ baba h,h :
mwalim alisema kiongozi wauma haifai kufanya biashara
2026-08-20 23:04:07
0
bin_haq_18
BIN HAQ :
fact
2026-08-20 22:36:00
0
user9883488715018
MUYA yusuph :
mpaka kieleweke
2026-08-20 22:18:11
0
shabani.salehe6
Shabani Salehe :
asante baba pambana tutatoboat
2026-08-20 22:41:57
0
fidelyab
user7022955457324 :
Eti una hata basi 🤣🤣🤣 lol!
2026-08-20 22:15:37
0
dorotheamgonela
Freddy 30m :
kweli sema kabisa sis maskini
2026-08-20 22:02:01
0
upekeecakes
Upekee Cakes :
Nchi yangu hii🫠
2026-08-20 15:18:56
0
To see more videos from user @buses_arena, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About