ilo nishakataaa mungu hajapanga maisha ya mtu... kupanga ni kuamua kwako
2026-08-21 07:32:18
23
Fundi Simu :
wengine tusha fungua macho
2026-08-21 05:36:11
12
Betta-4-best :
kwan braza ukipanda mbegu shambani una uhakika gani kwamba zote zitaota na kuzaa mavuno mema..zipo tikazotoka mbovu tu na zitaathiri nyingine..au ukizaa watoto unajua vipi kama wote watakuwa watoto wema na watapendana kama ulivyowapenda wewe au ulivyowafundisha...?
2026-08-21 10:18:13
3
Joel jilya⚡😛 :
sensi ipooo bro,,, kila kitu kinakuja na kusudi...
Na Kweli Mungu anajua kila kitu mwanzo hadi mwisho,,,
Mungu ametupa utashi wa kutambua mazuri na mabaya, mabaya yanajulikana na mazuri pia,,, Mungu hakulazimishi kufanya mazuri.... kumbuka kuna roho ya shetan...zaburi 51:3
2026-08-21 01:23:07
7
wakaki D :
hizo habari za mungu ni uongo mtupu ni vitu vya ajabu mm mungu wangu sio huyo wa kwenye vitabu bana
2026-08-21 08:19:36
6
Clif :
you got point bro..umeongea fact sana until that English part😁
2026-08-21 16:58:28
1
Anold Chipuga :
me najua mungu anaweza kila kitu ,lakin katuumba tukiwa huru na katupa uhuru na yeye anataka kuabudiwa tukiwa na uhuru wa kuchagua ko mambo mabaya yalitokea pale ambapo shetan alichagua kutomtii mungu kutokana na uhuru aliopewa na alionywa lakin alikataa ko ndio ikawa hivyo ndo maan asili yetu ni mungu ndo maan huwa tunapatwa na hatia pale tukikosea kweny mioyo yetu wenyewe
2026-08-23 14:22:05
2
salmayra :
bro kama hawaelewi endelea tuu kuwaelewesha Kila mtu ata amka kwa wakati wake
2026-08-22 19:32:11
3
𝗠𝗮𝘁𝗵𝗮𝘆𝗼 𝗦𝗮𝗻𝗴𝗮 :
Nakuelewa kak na huwa najaribu kuwaamsha ila hawaamki sjui wamelishwa nini
2026-08-22 16:10:34
2
offisho yeye :
kitu cha msingi cha kujiuliza
2026-08-21 08:54:13
2
Mi@m shift 👽 :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🤣🤣🤣 mi nashindwa kuelew mungu 🤣
2026-08-21 09:11:55
1
Dully :
Surat An-Nisā (4:79):
“Mema yoyote yanayokufikia yanatoka kwa Allah, na mabaya yoyote yanayokufikia yanatokana na nafsi yako.”
— Qur’an 4:79
2026-08-21 11:50:17
1
Lonjino Peter :
weweeeeeee nakubali sana
2026-08-21 11:03:48
1
user6530275316913 :
we unataka uwepesi bro Mungu anajua kila kitu na hafundishwi na anajua anachofanya na hakosei na ndioman akaweka amri ili tuzifuate na tuwe salama
2026-08-21 08:51:01
0
Invictus Maneo :
Mm binafsi naamini Mungu wangu hajui kesho yangu, ndio maana ananilinda kwasababu hajui adui atakuja lini, nitapata ugonjwa gani ni kama baba yangu mzazi anavyoniwazia mambo mazuri
2026-08-21 17:19:19
1
withnexty :
Take this hii Haipo kweny Dini. Mungu alimuumba binadam na akampa access zote, ili binadamu aweze kucontrol kila kilichopo Dunia, Mungu ni nafsi, kila Binadam ana umungu ndani yake, na ndomaan ukifanya chochote kibay(kuiba,kuuwa,kubak..) nafsi yako inauma, nafsi inasononeka means unaikosea nafsi yako, Ambay nafsi ndo roho na ndo Umungu wa Mungu kwako. Nakuikosea nafsi yako ndo dhambi zako, Mungu hamfanyi mtu atende mabaya wala mazuri, ni wew Binadam baada ya kupew Utashi ndo utajuah ufanye nn But God is watching
2026-08-21 23:25:35
0
Ahmednour :
Bro iko hivi MUNGU anasema kuwa nawaleta DUNIANI mfanye mnavyotaka Ila Mjue kuna MUNGU anayepswa kuabudiwa sasa hapo ni wewe na maamuzi yako 😎
2026-08-22 06:21:27
3
user4862696571361 :
Mungu hakutaka kuumba robot aliumba binadamu na akampa uhuru achakue kile anataka kutika moyoni siyo ku control kama robot
2026-08-21 04:15:21
1
abuumakele :
Sawa ila ivi vitu kaleta nan tunapumua, tumekuta kila kitu nan kaleta
2026-08-21 07:44:27
1
amfrodi :
umewaza kwa kina sana kaka😌😌😌. kuna ukweli %100 kwa iko unacho kisema kaka
2026-08-21 08:58:14
1
MKD obbo :
kwaiyo unatushauri tufanyeje
2026-08-21 18:41:28
1
Kalinjuma Elias :
Kwanini dhahabu ili iitwe dhahabu mpaka ipitie kwenye Moto ?
2026-08-21 17:30:18
2
mourinho mashoes :
hapn haiko ivo mungu hupanga mema pekee.
2026-08-21 04:46:35
2
To see more videos from user @kukimalano, please go to the Tikwm
homepage.