@mama___chanja:

MAMA___CHANJA
MAMA___CHANJA
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 20 August 2026 19:47:39 GMT
667718
65595
3015
2259

Music

Download

Comments

tamimu069
Tamimu💥💙 :
ivi asaivi kuna m2 anatumia mb zake na sio wifi za bure kama unatumia mb zako tuwe marafiki bas😂
2026-08-20 19:54:59
1506
edinanasir0
Edina Nasir :
Raha ya ndoa mwanaume akupende yeye utafurai sio ufosi ndoa 😀
2026-08-21 05:11:43
1076
mulhat080
❤️ GNS❤️💵 :
Mm niko kwenye ndoa napewa kilaninachotaka laki siruusiwi kutoka
2026-08-20 19:55:02
817
reencute17
Reencute🌸 :
Baada ya kusamehe hali ninayopitia
2026-08-21 03:08:32
333
jenipher.mall
Jenipher_Mall :
Sasa ata kama ungekuwa wewe ungekataa😂😂😂
2026-08-20 19:55:19
316
annastacia892
ᥫ᭡Annastacia :
ndoa inaraha sana, lakini hakikisha umeolewa na mtu ametaka mwenyew kukuoa ujamlazimisha, uta enjoy bn🥰
2026-08-21 00:21:13
226
mamanonahouseoffashion5
MaMa NoNa house of fashion🤗🧥 :
ndoa ina raha mnoo ilaa jitahidii sana marry your friend🙏🙏naenjoy ki ukwelii
2026-08-21 04:18:45
76
afifa_yummy
afifa_yummy🤤 :
kuna na ile raha mkiwa mnagombana utackia anakugomba alaf anamalizia mke wang 🔥🔥😂
2026-08-21 05:30:21
70
ackyt1
Acky :
Sina Uhakika kama ndoa inaleta furaha au amani. katika akili ya kawaida tu Amani utaipata ukiishi maisha yako peke yako bila kufungamana na yoyote, na ukiwa financially independent.
2026-08-21 06:53:25
52
tamara_wababa
Tamara_wababa❤️ :
ndoa Raha bwana 🥰 😂tunaenjoy sana kuliko makero
2026-08-20 20:42:17
51
linah983v2
Linah🌸 :
Ila akiri ya mama chanja😂😂😂 nimecheka satano hii usiku😂😂😂😂
2026-08-20 19:54:59
46
dejom5
DAVE RED DEVIL😜❤️ :
hawatupi possible 😂
2026-08-21 07:01:24
31
baby.mina84
🌷muzna :
ambao tunaweka hela kwenye cm kama akiba alafu tunajikuta twaziunga bando tujuane
2026-08-25 14:29:12
28
hamdunisafari112
mr writer🤒 :
ndoa sio ngumu ...ikiwa utayakubari mapungufu ya mwenza wako kua ndio hayo na yeye akayakubari yako ndio hayo... nje ya kuchotiana mengine yanabebeka ... hata wangu ana mapungufu yake ila mema yake kwangu ni mengi zaid
2026-08-21 03:02:36
26
user577274119
officially ukhty asha :
ukikataa unapata zambi iyo nihaki yake kama hujampa unalaniwa na malaika 😅😅😅
2026-08-21 03:54:26
24
jamesmussa842
jamesmussa842 :
tulio single atuwezi elewa single wote msicommenti
2026-08-20 20:20:33
22
baalawibaalawi
BAALAWI TOUR ZANZIBAR :
RAHA NA HESHIMA YA KILA MMOJA WETU NI KUOA NA KUOLEWA, HAKUNA HESHIMA BILA KUOLEWA AU KUOA.
2026-08-21 07:16:03
18
user8563382551425
user8563382551425 :
mi nimependa tu usoni kwako umeglow
2026-08-21 06:59:51
15
juliethtzbeauty
julieth :
Wewe unajuaje mama chanja 😁😁
2026-08-20 21:53:42
13
kimahney09
It's _Kim💀 :
incase you're new here she's mad 🥹🤣🤣
2026-08-20 20:37:06
13
maaliyah33
M🩷U💛E❤️N🤎Y 💜 :
hakuna lolote ndoani
2026-08-21 07:28:50
13
user8168060342548
mwajuju_ :
yani mama chanja sio wattsap tyu nikiona sms ajibu napiga sim ira akirud nyumbani akiniretea zawad najifanya kam sitaki kumbe natak ndoa tamu😋😋😋😋 bwana asikuambie mtu
2026-08-20 20:47:58
13
favoure235
favoure235 :
Kwa ndoa watu wanaongea kuhusu bad side tu lkn mazur ni wachache ndo wanayasema 🥰
2026-08-21 07:52:28
11
ofis238
sam 6 :
mama chanja nisaidie mamy ata unisomeshe nimsaidie mama please 🥺
2026-08-21 22:14:38
10
user33540903927067
da grace :
mama chanja Mambo
2026-08-20 20:17:24
9
To see more videos from user @mama___chanja, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About