@mr.smart.tz: Post 14 | Maswali 5 Ambayo Wanaume Hawapendi Kuulizwa Na Wanawake #Psychology #Mapenzi #tiktokkenya🇰🇪 #tiktoktanzania🇹🇿 #fyp

@Mr smart Tz
@Mr smart Tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 20 August 2026 19:56:50 GMT
105194
2448
108
756

Music

Download

Comments

user826781807527
rey m :
ambao tupo bize na usafi tujuane
2026-08-20 20:42:31
121
nzosimba
Woman of vision :
Swali ya mesage
2026-08-22 07:14:47
0
user6351620335161
user6351620335161 :
atajua mwenyewe bana mi nishamuuliza yote😅😅😅
2026-08-21 15:36:28
19
nikonikotz
niko :
sita ambayo mwanaume yeyote makini hataki kabisa kuulizwa namba moja uko wapi the tracking syndrome hili ndilo swali linaloongoza kwa kuulizwa duniani uko wapi kwa mwanamke hili ni swali la kutaka kujua usalama wake lakini kwa mwanaume hili swali linasikika kama kwa nini hauko nyumbani au na kuandama kisaikolojia mwanaume anatamani sana uhuru anapopokea simu au meseji ya uko wapi akiwa na marafiki kwenye kikao au hata kwenye foleni anahisi kama amefungwa gps inamfanya hisi haaminiki distress mwanamume anataka kurudi nyumbani kwa sababu anataka sio kwa sababu anasindikizwa kwa maswali ya eneo alipo ukimuuliza hili swali mara kwa mara anaanza kuona simu yako kama kero na anaweza kuanza kuizima au kutoipokea badala ya kuuliza uko wapi jaribu kusema natumai uko salama huko uliko na kusubiri nyumbani hii nampa hamu ya kurudi badala ya hofu ya kuhojiwa kamba mbili nipike nini au tule nini leo the decision fatigue hili linaweza kukushangaza lakini wanaume wengi wanachukia swali la nipike nini leo au tule nini leo mwanamke anauliza hili ili kumfurahisha mume wake lakini kwa mwanaume ambaye ameshinda akifanya maamuzi magumu kazini swali hili linaongeza kitu kinachoitwa decision fatigue au uchovu wa kufanya maamuzi mwanaume anapozunguka kutwa kutafuta pesa akirudi nyumbani anataka kupokelewa na sio kuamua anataka kukuta chakula mezani unapomuuliza nipike nini unamrudisha tena kwenye kazi ya kufikiri ambayo alikuwa anaikimbia wanaume wengi wanapenda surprise pika unachojua anakipenda au tengeneza ratiba yako ya chakula ukimuuliza na akasema pika chochote usikasirike maana yake ni kwamba akili yake imechoka kufanya maamuzi madogo madogo anataka uwe malkia wa jikoni anayejiamini namba tatu je sus unanipenda kwa dhati au unanitumia tu emotional blackmail swali la tatu ambalo wanaume wengi wanalichoka ni maswali ya mfululizo kuhusu uhalali wa upendo wake hivi kweli unanipenda au unanipenda mimi au unatafuta kitu fulani kwangu mwanaume anajua anapenda kwa vitendo anapotoka asubuhi kwenda kupambana na jua mvua na dharau za bosi wake ili akuletee mkate mezani hiyo kwake ndio nakupenda unapomuuliza hili swali mara kwa mara unamwambia kuwa juhudi zote anazofanya hazitoshi na uzioni
2026-08-22 09:37:49
5
miss.sonie0
miss sonie💖 :
Ambao tupo bize na kuangalia usafi tujuane😁😁
2026-08-21 15:35:58
5
user9253071819327
Marhmad :
thanks
2026-08-21 20:03:14
0
marymarypeter1
arsenal's daughter ❤️ 💪🫡🫶 :
umesemaje et nilikuwa bz na usafi
2026-08-21 06:22:13
13
runas_product
ام الحنونة :
Namuuliza yote Na Kila siku Na sichoki kumuuliza liwalo Na liwe
2026-08-22 05:59:16
4
broishayawi
💞mrs y💞❤️b😜🤪 :
unanipenda kwel
2026-08-21 08:47:27
4
user2616572005880
user2616572005880 angel :
usimuulize wako me nikipata wangu hilo ndo swali lakwanzaa
2026-08-21 16:26:25
4
kelvinsanga217
Kelvin Sanga :
siyo kweli bhana....yaan mtu anachukia kuulizwa ukwapi na mke wake.... ?
2026-08-22 13:37:51
0
estherkatunzi
ESTHER KATUNZI :
🤣🤣🤣🤣 kilichofanya niendelee kukuskiliza nijisi unavo fanya usafi
2026-08-21 12:55:13
2
bintmtety
Shaymaa_phones & accessories :
sio kwelii bana kama mwanaume ambae hataki kuuliza uko wapi ni cheater😏
2026-08-22 11:40:20
1
miki222025
Miki22 :
Nipo zangu naangalia usafi 😂
2026-08-21 16:23:23
2
ummyshamte
ummubaebe :
Huwa napenda kumuuliz upo wapi
2026-08-21 05:26:31
3
lizzyjey01
lizzy✨ :
Kwahiy tusijue walipo😏😏
2026-08-21 11:04:04
1
happiness.josepha2
Happiness Josephat :
kwann hawataki kuulinzwa
2026-08-21 15:32:37
1
zuenasaid747
Z😍R :
dada nataka niulize kitu
2026-08-20 20:09:33
1
auntyray0
Aunty_rey :
hawapendi kuulizwa chakula jamani unajibiwa chochote😂😂😂
2026-08-22 13:15:05
0
faithmoh7
Faith039 🥰🥰 :
😁 je unanipenda?
2026-08-22 14:16:39
0
hunter.jr46
Hunter Jr :
sahihi kabisa nimemuerewa uyu dada
2026-08-22 14:40:27
0
samy.og00
Samy og :
namuhuliza vizurii tu na atugombn
2026-08-22 13:49:09
0
mamandegeoutfit
mamandegeoutfit123 :
😂😂level niliofikia hata awe wapi sijali
2026-08-22 14:28:46
0
ngosha077
NGOSHA TZ🇹🇿 :
moja kwangu please
2026-08-20 21:41:56
0
To see more videos from user @mr.smart.tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About