cheti kinazeekea ndani, ajira iko kwenye bajaji
Taaluma ya darasani haina kazi mtaani
maono yangu tu....,🙏
2026-08-21 11:19:13
1023
jvan❤️😘 :
GPA ya 4.5 n tofaut n GPA ya maishaaa
sooo focus san kupta GPA ya maisha zaid ya class🫡🫡
2026-08-25 10:58:09
1
Nelly :
yaan hapoGPA 4.5 Ni hdggkkydjjovdebjbcxxvbjgxscjhdxvngdxvbgdxhdfhbcryijfwdhj. 4.5 basi tu inauma😳
2026-08-25 19:46:46
1
Blackangle :
Chinua Achebe said that "One of the truest tests of integrity is its blunt refusal to be compromised.”
2026-08-25 12:57:01
1
It’s chocolate 💗 :
It means watch your back 😂😂😂🙌🏼
2026-08-25 06:18:08
1
black Rabbit :
GPA ni grade, point, average
2026-08-25 20:02:33
1
papillon ganstr :
Grand Point Average
2026-08-25 09:51:19
1
Johnson :
GPA 4.5": Inawakilisha mtu aliyefaulu sana chuoni kwa daraja la juu picha ya Mzeeinawakilisha jinsi maisha ya mtaani na msoto wa ajira au utafutaji unavyoweza kukuchosha, kukuchakarisha na kukuzeesha mapema licha ya kuwa na elimu kubwa au GPA ya juu siangalie GPA kubwa chuoni, mtaani ni shule nyingine kabisa inayohitaji msoto tofauti
2026-08-21 13:27:07
180
Ġ_Omm¥🇹🇿 :
Amemaanisha Unaweza Ukawa Na GPA 4.5 Na Ukabaki Nayo Mpaka Uzeeni.
2026-08-25 06:57:51
63
mieyusho :
Yan P1 nakuwa na GPA kubwa ila bdo kitaa kimemchafua mbayaa😅😅😅
2026-08-21 10:34:01
81
I am bright :
Bila connection gpa number tu 😂😂😂
2026-08-21 05:16:56
31
ÑØ"SYSË"S :
😊:cheti kinazeekea ndani, ajira iko kwenye bajaji
Taaluma ya darasani haina kazi mtaani
maono yangu tu....,🙏
2026-08-24 21:56:08
22
MTEMBEZI 🇹🇿✧˚₊‧ :
Sisi wataalam wa Fasihi tunasema Tafsiri halisi anayo muandishi wa fasihi ..Ila sisi wengine tutajaribu tu kuhisi mwandishi alimaanisha nini 🔥😅
2026-08-25 08:57:41
9
Faith og 💀💀 :
ATUCHEKESHI 45
2026-08-24 15:59:01
5
pina beauty saloon :
nipo saloon saivi hahhahah 😂😂
2026-08-21 10:03:56
7
Blackman :
katika swali alilouliza jamaa na majibu ya wanacoment nimejifunza tafasiri nyingi na wengi wapo saw kbs🫡🫡🫡kwa wanacoment
Uhalisia wa Kusoma: Kupata GPA kubwa ya First Class (kama hiyo 4.5 ya kwenye kiwango cha 5.0) kunahitaji kukesha, kukosa usingizi, na msongo mkubwa wa mawazo (stress).Muonekano: Picha hiyo inawakilisha jinsi mwanafunzi anavyoweza "kuchoka" au "kuzeeka" mapema kwa sababu ya ugumu wa shule hadi kufikia mafanikio hayo makubwa ya kitaaluma
2026-08-21 14:41:03
9
Omary nenga :
kwani mwenye Bajaj anasemaje kuhusu iyo PCH na GPA 4.5 ?
2026-08-23 16:17:44
10
daudmachange :
UTULIVU tu 😄👍
2026-08-21 20:24:31
1
fan 😍 :
45
2026-08-21 20:41:13
1
Abdullah Rajab :
sura ya babah 😁😁😁😁
2026-08-22 05:09:40
2
#FTZ*599MC#KANTU :
iyo ni 45 huyo mzee hachekeshi
2026-08-22 09:05:05
1
To see more videos from user @kim_yunus_, please go to the Tikwm
homepage.