@escp9:

🫩
🫩
Open In TikTok:
Region: UA
Friday 21 August 2026 10:40:51 GMT
6
0
0
0

Music

Download

Comments

There are no more comments for this video.
To see more videos from user @escp9, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

ZIJUE AINA MBIULI ZA SHIRKI KATIKA UISLAMU Assalāmu ‘alaykum warahmatullāhi wabarakātuh, Tunamshukuru Mwenyezi Mungu (SWT) kwa neema ya kufikisha hatua nzuri katika ujenzi wa Msikiti wa Utengule uliopo Mkoa wa Iringa, Wilaya ya Kilolo, Kijiji cha Utengule. Kwa juhudi za waumini na wadau mbalimbali, kwani kazi ya msingi, kupaua , plaster kuta pamoja na boma tayari vimekamilika. Hata hivyo, bado tunakabiliwa na hatua muhimu za mwisho zinazohitaji msaada wa pamoja ili msikiti uweze kukamilika na kuanza kutumika ipasavyo. Kazi zilizobaki ni pamoja na: - Ujenzi wa vyoo na mfumo wa maji taka - Sehemu ya kutawadhia - Ufungaji wa milango na madirisha - Ununuzi wa mazulia na ukamilishaji wa ndani Kwa kutambua umuhimu wa nyumba ya ibada katika jamii, tunawaomba kwa unyenyekevu mchango wenu wa hali na mali ili kufanikisha ukamilishaji wa Nyumba hii ya Allah SW. Kila mchango, mdogo au mkubwa, ni sadaka yenye thamani kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu na utakuwa sababu ya kujipatia ujira usio na kikomo. Kama ilivyoelezwa katika Qur’an Tukufu (Surah Al-Baqarah 2:261), anayetoa katika njia ya Mwenyezi Mungu hulipwa kwa wingi mkubwa zaidi. Hivyo basi, huu ni wasaa adhimu wa kuwekeza katika akhera kwa kushiriki katika ujenzi wa nyumba ya ibada. Tafadhali changia kupitia: M-PESA: 0769 756 490 YAS | MIX: 0715 868 990 HALOPESA: 0619 115 190 JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA #islamicswahilinet Mwenyezi Mungu awabariki, awaongezee riziki, na akubali michango yenu. Wassalāmu ‘alaykum warahmatullāhi wabarakātuh.
ZIJUE AINA MBIULI ZA SHIRKI KATIKA UISLAMU Assalāmu ‘alaykum warahmatullāhi wabarakātuh, Tunamshukuru Mwenyezi Mungu (SWT) kwa neema ya kufikisha hatua nzuri katika ujenzi wa Msikiti wa Utengule uliopo Mkoa wa Iringa, Wilaya ya Kilolo, Kijiji cha Utengule. Kwa juhudi za waumini na wadau mbalimbali, kwani kazi ya msingi, kupaua , plaster kuta pamoja na boma tayari vimekamilika. Hata hivyo, bado tunakabiliwa na hatua muhimu za mwisho zinazohitaji msaada wa pamoja ili msikiti uweze kukamilika na kuanza kutumika ipasavyo. Kazi zilizobaki ni pamoja na: - Ujenzi wa vyoo na mfumo wa maji taka - Sehemu ya kutawadhia - Ufungaji wa milango na madirisha - Ununuzi wa mazulia na ukamilishaji wa ndani Kwa kutambua umuhimu wa nyumba ya ibada katika jamii, tunawaomba kwa unyenyekevu mchango wenu wa hali na mali ili kufanikisha ukamilishaji wa Nyumba hii ya Allah SW. Kila mchango, mdogo au mkubwa, ni sadaka yenye thamani kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu na utakuwa sababu ya kujipatia ujira usio na kikomo. Kama ilivyoelezwa katika Qur’an Tukufu (Surah Al-Baqarah 2:261), anayetoa katika njia ya Mwenyezi Mungu hulipwa kwa wingi mkubwa zaidi. Hivyo basi, huu ni wasaa adhimu wa kuwekeza katika akhera kwa kushiriki katika ujenzi wa nyumba ya ibada. Tafadhali changia kupitia: M-PESA: 0769 756 490 YAS | MIX: 0715 868 990 HALOPESA: 0619 115 190 JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA #islamicswahilinet Mwenyezi Mungu awabariki, awaongezee riziki, na akubali michango yenu. Wassalāmu ‘alaykum warahmatullāhi wabarakātuh.

About