@bbcnewsswahili: Mahakama Kuu imesema Tundu Lissu ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini huku Lissu akisema atajitetea mwenyewe na kuwa shahidi wa kwanza. Ameomba pia mahakama iwaite mashahidi 11, akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, viongozi wa zamani wa serikali na usalama, pamoja na viongozi wa CHADEMA. Hata hivyo tayari kuna mapingamizi juu ya baadhi ya mshahidi hao kuitwa. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka imesema mashahidi namba 1 hadi 7 wasiruhusiwe kuja kutoa ushahidi. Mwandishi wa BBC @frankmavura na maelezo zaidi. 🎥: @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #tanzania #tunduLissu #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #foryou
bbcnewsswahili
Region: TZ
Friday 21 August 2026 13:11:04 GMT
Music
Download
Comments
leezabeth29🇿🇦 :
mtu flani hivi anajuwa sheria Singida oyeeee 🙌🖐️❤️❤️❤️
2026-08-21 13:55:39
47
sonni_og :
Lissu akiwa raisi tutaenjoy sana watanzania😁
2026-08-21 13:59:29
94
E'smilē :
One day everything will be oky✌✊
2026-08-21 15:07:09
2
web3 generation :
kati ya mashaidi hao kuna mmoja au wawili hivi wako na hali hii
2026-08-21 14:24:49
24
Hyson kabimbi :
big brain
2026-08-21 16:15:31
1
Draick Bavon :
President 💪
2026-08-21 16:47:15
0
Divdora🧢 :
Siku nenda siku rudi Huyu ndie atakuwa rais wa Tanzania hii 2030
2026-08-21 15:11:42
15
AlikoAlikanto :
Mr blue
2026-08-21 16:35:56
1
regan allen :
Mungu Alitupa Lisu ili tujifunze kwa haya niliyojifunza kupitia Lisu Lazima Mtoto wangu Asomee Sheria 🙌🙏✈️
2026-08-21 14:15:45
5
hamisiomary348 :
haiwezekani
2026-08-21 13:42:11
3
Geoffrey Serede :
Mahakama pumbavu kabisa. Mwenyezi Mungu mnasue kigogo Lisu kutokana na hujuma hii
2026-08-21 15:24:28
3
bochii.ledie :
Hii kesi ukiisikiliza inaumiza San 🥺
2026-08-21 14:58:26
2
WAKOJOZAJI :
Movi inaitwaje??
2026-08-21 15:56:28
0
Kimlex Beats :
kuna kitu apa akipo sawa...🤔
2026-08-21 13:47:24
4
𝔎𝔞𝔯𝔟𝔦_ :
Lissu nae wa kuogopwa sana
2026-08-21 15:56:27
0
Charity :
natamani kurudi shule nijue sheria cjui kama nitamaliza maan hii kesi imenifunza kitu cha pekee
2026-08-21 16:13:22
3
kaka uchebe :
alioo!!!
2026-08-21 15:47:48
1
greth alvin :
Mungu anaeishi ndani yake ndie atakae muongoza lisu Mungu na ampe hekima na afya njema (ushindi u karibu)
2026-08-21 13:47:56
4
#baba myrla :
kama mashahidi wa serikali wanajigonga gonga vile hiyo kesi ya kujibu inatoka wapi
2026-08-21 16:33:20
4
twevethegreat :
tulitaman tupate fulsa ya kushuhufia maojiano yote tujilizishe sasa kwann walizuia ila ukwel ni kuwa matukio ya uchaguzi mzee alikuwa ndani
2026-08-21 13:50:10
2
Baraka 🪖 :
Free Lissu, Mungu akutetee ktk haya unayopitia.. 😌✊✌️
2026-08-21 13:40:59
1
kevinalpha9202 :
Mungu yupo
2026-08-21 13:39:52
1
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.