@kanikibrown: Ni vyema kumtanguliza Mungu katika kila jambo, lakini ni hatari kutumia jina la Mungu au dini fulani kwa maslahi binafsi, kujinufaisha au kufanya propaganda za hisia za kisiasa. Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria, hivyo ni lazima kila mmoja aheshimu, atii na kufuata sheria za nchi. Kila jambo linapaswa kufuata taratibu na mkondo wake wa kisheria, bila kujali mtu ana nafasi gani, anatoka upande gani au anatumia jina la dini gani. Tuheshimu imani za watu, tuheshimu sheria na taasisi za nchi, na tuache dini itumike kwa ajili ya kumtukuza Mungu, si kama chombo cha kujinufaisha au kuchochea hisia za kisiasa. 🔴Ukiwa na HABARI MPIGIE RIPOTA 0622732287 RIPOTA WA HABARI ZA MIKOANI ✍ @kaniki_brown #Ripotawahabarizamikoani #kanikibrown #WeweNiFamilia

Kaniki Brown
Kaniki Brown
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 21 August 2026 13:21:38 GMT
15655
336
66
17

Music

Download

Comments

user28493292610187
Deathbed Doctrines :
Truth sounds like hate for those who hates truth
2026-08-21 13:55:59
0
1978kjk
khamis :
kosa kubwa hili wanalifanya Chadema. Kujipambanua kwamba wao ni Chama cha kikiristo
2026-08-21 14:25:31
19
emmanuel.sabini.s
Emmanuel Sabini Silas :
Kikubwa tuendelee kuheshimu sheria za inchi ili kujiepusha na matatizo mbalimbali.
2026-08-21 14:03:20
8
elly21481
elly :
Very true
2026-08-21 19:16:13
0
eddyommy1980
Ahmed Omar :
Sasa Lissu ana wafuasi wa Dini moja tu?
2026-08-21 13:58:12
10
user33714220443504
Mullah :
Chadema ni chama la wakristooo, hakuna mtu hajuiii
2026-08-21 16:23:06
4
sadabakir
sada bakir :
maombi Mungu hajayakubali ametenda haki mkubali hapo
2026-08-21 20:01:44
2
user59480082235985
user59480082235985 :
ukweli chadema ni chama cha kikristo kabisa
2026-08-21 17:20:27
2
mussabarakati729
Barakat mussa :
wanakinukisha saiz wanamkejeli mungu😊
2026-08-21 18:48:17
2
shukuboy56
shukuboy :
MUNGU ajaleta serikali brother apo serekali imeletwa na wakoloni,
2026-08-21 17:44:49
1
user2151395435610
user2151395435610 :
kwisha
2026-08-21 14:10:58
1
kash68690
kash :
umekosa cha kusema kaka kwani kuomba ana kosa gani ?
2026-08-21 16:56:12
1
user81511241574422
user81511241574422 :
kweli chadema ni chama cha wakristo wakatoliki ndio maana Mahakama imeruhusu maombi ya kanisa Mahakamani.Mwenye macho ameona na Mwenye Masikio kasikia.Asanteni Wakrito wa Nchi hii na Mahakama kuu.
2026-08-21 19:25:52
1
march24harloun
mtu wa kale :
mahakama iendelee kutenda haki kila mwenye hatia Na ahukumiwe Kwa mujibu Wa Sheria za nchi
2026-08-21 14:55:06
1
80malimali_mafuku
Malimali :
Hii sio!
2026-08-21 16:35:19
1
khamisifalaki
khamisi falaki :
chadema wahun
2026-08-21 18:54:39
1
jumakigoto
Juma Kigoto :
Umeongea point nzuri sana. Inatafakarisha
2026-08-21 20:21:30
0
user4186177245948
user4186177245948 :
unaongea ukweli dua yao itawatafuna wenyewe hadi washangae mungu hana utani
2026-08-21 19:35:43
0
emmanuel.sabini.s
Emmanuel Sabini Silas :
Hii ni akili ya kiwango cha juu sana hata mimi nimeshangaa hayo maombi yalikuwa ya aina gani very wonderful.
2026-08-21 14:01:27
10
mohamedmarijani2
mohamed marijani :
kweli damu nzito.
2026-08-21 18:50:01
0
johnsemdoe_8
john semdoe :
kwani kumuomba mungu nidhambi
2026-08-21 18:50:49
0
rebekasanga5
rebekasanga5 :
Kuomba ni kosa
2026-08-21 18:49:48
0
user6802702818308
shacao :
kumekuchaaa
2026-08-21 20:17:39
0
emilyas48
ASSENGA.COM :
kwahyo ulitaka serekali iletwe na nan??
2026-08-21 20:05:10
0
kiramooissa
Afrikast :
Walio leta Dini Afika waliweza Mamae
2026-08-21 18:37:25
1
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About