@gcangel1:

Apostle GC Angel
Apostle GC Angel
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 21 August 2026 15:06:59 GMT
39576
2652
206
174

Music

Download

Comments

mr.fwb_official
mr.fwb_official :
Na kusudi ni lipi??? Kupendana is okay but kupendana alone is not enough let’s normalize putting the point clear
2026-08-21 18:56:18
1
fglesari
DANIEL®️ :
Hizi gospel jaman. LOVE IS THE GREATEST OF ALL
2026-08-22 05:01:05
1
noelmigongo
Noel Migongo :
Mungu ni pendo. Upendo una nguvu kuliko mauti.. Hata kusudi la kukutana hubadilika with time and circumstances, love is the only glue that can hold you together
2026-08-21 21:25:48
8
ltizmic
Ltiz :
Pamoja na YOTE , Ikiwemo na kusudi UPENDO ndio KIFUNGO cha ukamilifu.
2026-08-21 20:44:05
15
dennic_talks
Dєηηic | тαℓкѕ🍂 :
Pastor, you're so brilliant 🥹🙌
2026-08-22 05:45:15
1
izackgich11
Isaac Gichinga :
Ndoa zirudishwe kwa mikono ya wazazi.
2026-08-21 18:00:33
21
cosmasjohn485
Mr Elisha Cosmas 🎤🎸 :
mimi sijakuelewa Baba
2026-08-21 15:52:33
10
tallandhandsomeboy
GMStan :
true, love is an illusion
2026-08-22 00:48:05
0
c.e.ofwoshipgathering
c.e.ofwoshipgathering :
Ameni wooooiiiii🙏
2026-08-22 09:42:48
0
chiefmsangawale
Msangawale 👑Chief :
Unahitaji utulivu wakiroho na hekima kubwa kumuelewa
2026-08-21 18:44:43
10
summerbilly3
Sam Nails Tech :
Pointless.Upendo ndio unaanza ata Mungu ni pendo..
2026-08-21 18:52:38
4
iloveher573
LovedByJesus ✝️❤️ :
NDOA HAINA MWALIMU!! Watu hawafanani na kamwe hawatafanana, Ndoa ni taasisi ambayo Mungu mwenyewe aliiweka na yeye pekee ndo mwalimu wake! SASA NDOA BILA UPENDO NI NINI HIKO!???? SIWEZI KUKAA NA MTU NISIEMPENDA MSITUPOTOSHE!!!!
2026-08-22 08:34:57
5
salomeelimina
Mm beauty parlour :
Si mlisema upendo ni nguzo jamani🤔🤔
2026-08-21 21:06:45
4
josephnoah63
Joseph Noah kashililika :
couple inakuwa blessed na wazazi wa mwili.. wa kiroho ni perception ya Sasa.. ndio maana zamani kulikuwa hakuna ndoa za madhabahuni.. hekima za siku hizi ndio zinatuyumbisha.. je unadhan Babu zetu hawakuwa na ndoa?
2026-08-21 17:11:15
7
unknownone466
user1234 :
Ck hizi cmuelewi kbs, upendo ndo tunda la roho mengine yote yanatokea kwa upendo. Upendo umebeba vitu vingi
2026-08-21 18:41:50
6
modesta.modesti97
modesta modesti :
actually
2026-08-21 15:30:29
2
phynner6
phynner❤️❤️ :
purpose ya Mungu katika ndoa wakat mwngne inajulikana baada ya kila mtu kujua wapi Mungu amemuitia..kwa mfano male akawa sound engineer na female ni mwimbaj....so kusud laweza kuwa SIFA KWA MUNGU kupitia ndoa ya watu hawa wawili...kungekua na voice note mnenielewa zaid.
2026-08-21 20:23:38
3
7keys.dogs.mbeya
7keys dogs kennel :
ukimsikiliza kimwili uto muelewa ila namuelewa sana mana upendo kunamuda unapungua ila ukiangalia kusudi basi amto achana mana unajua kunasehemu MUNGU anataka awapeleke
2026-08-22 00:49:18
2
lifetochrist3
NAJAJO Lab 🥼 :
Yesu arudi tu tuende huko Kwan huko Ndio hakuna kuoa wala kuolewa
2026-08-22 08:37:30
0
gilbertjulius217
gilbertjulius :
akuna fact..
2026-08-21 19:29:57
3
favoredmettabel6
Favoredmettabel🩵 :
Unaongea fact sana uwiiii🔥🔥🔥
2026-08-21 17:34:26
4
cosmasjohn485
Mr Elisha Cosmas 🎤🎸 :
Ninakuomba sana sana Baba embu fanya mchanganuo wa hi sentesi yako naamini haya nimafunuo ila sasa unapaswa kutupa mchanganuo kabisa ninachokiamini kila mumoja wetu ana anaimani tofauti na anaamini kwakila analolitenda Dahhh kwakweli sijui ulikuwa na maana gani kusema makanisa yaache kufungisha ndoa 🥹🥹🤔🤔🤔kama Mungu amemkutanisha mwanaume na mwanamke inamaana kusudi lipo Baba kiukweli kwasasa Mafundisho yamekuwa Mengi sana na mengine yanapaswa sisi kabra yakuyaweka Moyoni kwanza yanatakiwa tuyatafakari kwasababu katika Biblia Yeremia 1:5 inazungumza kuwa kabra sijakuumba nalikujua so kama alinijua inaamana nikikaa katika njia zake atanipa yeye mwanamke ambae nikisudi lake 🤔🤔 UPENDO ndo Ki ya mahusiano kwasababu Hata Yohana 3:16 inasema Kwamaana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hapa kunaneno Upendo Baba Tunaomba utueleweshe Baba ulikuwa unamaanisha nini....🙏🙏
2026-08-21 18:56:04
2
angelayaghambe
Chosen💪🥀 :
Ameeeeen natamani Dunia nzima isikienhii kitu jmn... VERY POWERFULLY
2026-08-21 18:04:53
1
madam.vero0
madam vero💕🦋 :
Nimeelew sana Baba
2026-08-21 18:16:05
1
abonikejr
Usyk 🔨 :
Tupendane-Tuzae -tuishi- tufe tutajua kiama Amri kuu ni Upendo
2026-08-22 08:51:29
1
To see more videos from user @gcangel1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About