iii ndo nilikua naitaka ss je kwamwanamketu au wanaume unatuletea ya midume🥺🥺
2026-08-21 16:23:01
1
husna🥰🥰🥰 :
me sitaki kumkomesha me nataka anipend to bc sitaki kumtesa saan
2026-08-22 14:10:38
0
user6391478260857 :
uko kenya ama tanzanià
2026-08-22 10:43:38
0
Owadga Akoth :
Naezaipata hii dawa wapi daktari,niko Kenya
2026-08-23 11:11:42
0
lameckray :
kaka asante
2026-08-22 22:39:33
0
chimaa :
Nataka namba zako
2026-08-22 10:47:55
0
Mudathiri manwaga :
watakubali2 kk tupe madin
2026-08-21 15:50:34
0
🇹🇿🇹🇿 SIDE BOSS 🇹🇿🇹🇿 :
nije. unifanyie kaka
2026-08-21 17:59:04
0
Ahmed shehe :
nisaidie mm mwanao
2026-08-21 16:46:16
0
user6126531920077 :
we noma kk
2026-08-22 03:33:44
1
MAGOA TIBA ASILIA :
nakubali mzee
2026-08-21 17:23:09
0
Mdori Tz :
naitaj namba kaka🙏
2026-08-21 18:50:30
0
husna🥰🥰🥰 :
bei ya hiyo dawa unafanyia shingap etty
2026-08-22 14:10:11
0
Ahmed shehe :
bado jau
2026-08-21 16:46:39
0
Jane💕💕💕 :
Sio wote wasemao jina ya bwana ambao wanamaanisha hivo mimi baada ya kuzunguka sana na kuharibu pesa mingi nilisaidika na mganga kutoka ukambani,mungu ambariki sana
2026-08-22 15:52:13
0
Amina Focas :
kuweni makini na dawa mnazopewa akishavimba akajuwa ww ndo umemloga uoni ni hatari kwako mm nimeolewa siwezi fanyia mtu dawa kama hii na sijui yy kwao mazingira yapoje