@nyayotv: Mwanafunzi wa kidato cha sita, Peter Maira (23), wa Shule ya Sekondari Makongoro, Bunda mkoani Mara, anadaiwa kupigwa viboko na walimu kwa kosa la kufeli mitihani hadi kupoteza uhai wake. Tukio hilo linadaiwa kutokea Agosti 19, 2026, ambapo mwanafunzi huyo alipelekwa hospitalini akiwa katika hali mbaya na baadae alifariki. Jeshi la Polisi mkoani Mara limewakamata walimu sita kwa ajili ya uchunguzi kuhusu tukio hilo huku uchunguzi wa mwili wa mwanafunzi huyo ukifanyika ili kubaini chanzo Cha kifo chake. Follow us 🙏 #fyp #creatorsearchinsight #fypシ゚viral #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya

NYAYO TV
NYAYO TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 21 August 2026 16:27:32 GMT
4644
89
12
5

Music

Download

Comments

mtoto.wa.mama722
Irene Justine 💝💍🔐 :
duuuuh RIP😢😢😢😢
2026-08-21 20:24:41
0
massawestella
Stella massawe :
duu Mimi sisemi chotote ila mungu awasadie walimu wapunguze hasira
2026-08-21 20:05:26
1
chuni5678
Chuni :
hmmmm
2026-08-21 18:58:51
0
user6507463158790
Anney :
pole Mzazi.ni uchungu kumpoteza kijana wako Mungu akutie nguvu maji yameshamwagika
2026-08-22 09:12:01
0
silvia.richard
Silvia Richard :
Jamani walimu acheni kupiga wanafunzi hivyo
2026-08-21 19:09:47
0
dudu.baya54
dudu baya :
dah
2026-08-21 19:11:45
0
last.born9395
Last born :
Daaaaa baba poie
2026-08-21 20:56:12
1
flora.julius3
Flora Julius :
jamani tutauwana jamani atakwanguvu za giza sikubar kwakwer
2026-08-21 19:36:20
0
user8888867768
un6352 one :
kamata walimu wte walio husika mula
2026-08-21 17:29:28
1
charles_kwenjiwa
user171383318731 :
😳😳😳
2026-08-21 19:08:14
1
devothaignatus
devothaignatus :
😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-21 19:29:40
0
To see more videos from user @nyayotv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About