wafate sheria stendi imejengwa ya nini??? acheni siasa bhana kila mahali sasaivi ni stendi wenye mabasi acheni zalau bhana fateni sheria shikirango ndo anako taka kwenda kila abilia????
2026-08-22 04:24:24
49
fidelis :
ni sawa kabisa tulikuwa tunasaidiwa sana kufika katikati ya mji kwa nauli ileile
2026-08-22 04:56:14
23
Happy Ngoya :
hiyo ni kauli ya dharau kama kiongozi huwezi ukaongea hivyo,tujitahidi kulinda viywa vyetu
2026-08-22 06:07:38
9
DAVID( DMP)=CHOSEN ONE. :
huyoo mzee nanii point saaana
2026-08-22 04:03:05
8
shaibucakebox :
kelo mjini Ni marori sio mabasi
2026-08-22 14:57:57
6
Hellen Kifaru :
msifananishe uwanja wa ndege na stend za mabasi, wapandao ndege ni wachache, wengi wanapanda mabasi hapa tuangaliwe jamani.
2026-08-22 08:47:55
9
the rocky jr :
linakuuma nn😂😂😂
2026-08-21 19:56:34
5
Shangai Shemajengo :
hapo wasafir tumeonewa sana maana ukishushwa mbezi unalazimika kutumia 3000 mpaka 10000 hamuoni kwamba badala ya kuwapunguzia wananchi mzigo mnawaongezea mzigo
2026-08-22 06:25:19
7
Hiphopnext :
Huyo anazarau wasio na Mabasi.Miundombinu na Plan na serikali zisiongozwe na Siasa..Mbona ndege isije posta?
2026-08-22 07:24:58
2
allywaziry105 :
chalamila ni kiongozi , anasimamia mkoa huu anatekeleza MAJUKUMU yake bila kujali ana bus au Hana ,kwahiyo wamiliki wa mabas wafate Sheria tu bila kuleta kelele,
2026-08-22 08:37:30
8
stella mongi :
haloo saaa
2026-08-23 14:48:29
1
Mafly :
Watanzania wengi tunatumia basi .wenye uwezo wandege ni wachache na wanauwezo hivyo wanagari binafs na kwendea airport. tuache ushabiki hesabu wingi wa ndege na bas ndio utajua watiaji ni wangapi.
2026-08-22 14:36:35
4
Bhac hasnan :
hii serikar ya tanzania hakuna kitu walifanya kikanyooka sijawai kuona
2026-08-22 11:05:22
1
beatrice kanyenge :
sisi abiria tunataka mwende mbezi, mbona ndege haziendi mbagala au shekilango. fateni sheria.
2026-08-22 16:21:55
5
Diblo Master :
Itabidi ndege nayo ije hadi shekilango
2026-08-22 05:18:16
0
Kimario Agustino :
achen maneno mengi mfuate sheria ndio ma ana stendi ipo
2026-08-22 19:59:14
0
Kalungi Luiza :
kwani kbla ya magufuti stendi mabasi yalikuwa yanaishia ubungo stendi apo ndio ulikuwa mwisho.Na ndivyo ilivyo magufuri stendi hapo ndio mwisho wa mabasi
2026-08-22 15:41:41
0
Imani ayoub ramadhani :
nini maana ya stendi ya mabasi kama wanaona umhimu.wa abiria.mbona bei hawapunguzi ya kwenda mikoani.
2026-08-22 08:41:52
0
JOJO :
Kuwapeleka sioshida ukishampeleka rudi ka park stend kuu..sio kuleta jam mjini
2026-08-22 07:03:36
4
it's -Ge :
Jamn kutoka kigamboni chekaaaa uko ndani ndani mpaka mbezi mbona mabasi yatatuachaaa walllah
2026-08-22 13:29:23
2
sportshiyo :
tufuate sheria. stendi zimejengwa kwa kutumia Kodi zetu. waache na wenzako wa Bodaboda na mama ntilie wafanye biashara. Sheria zifuatwe
2026-08-22 17:02:59
4
PILI RAJABU :
Apo sasa🤣🤣🤣🤣
2026-08-22 04:57:30
2
Hello @Joshua 10 KV :
Kwakweeli Mungu awape hekima sana viongozi wawe na mawazo mapana zaidi kusaidia wananchi🥺
2026-08-22 08:02:38
0
krey324 :
nime penda ulivyo jibu😂😂😂
2026-08-22 07:24:42
2
To see more videos from user @ksk..luxury.coach, please go to the Tikwm
homepage.