@minobongo25: Mfanya Biashara donfeza_ anasema Tanzania nikama peponi, ni nchi nzuri zaidi hata ya Marekani, uingereza na UK na hii ndio mifano aliyotoa ili kuthibitisha ukweli wa maneno yake.

Mino.Bongo
Mino.Bongo
Open In TikTok:
Region: EN
Friday 21 August 2026 20:17:10 GMT
59638
3040
278
189

Music

Download

Comments

moyo2982
shukran Ya Rabby♥️🙏 :
ya Allah tulindiy tazaniy yetu
2026-08-23 15:31:59
1
mnako.boy
Mnako_boy :
He is right god bless you
2026-08-22 14:13:49
1
aposhi1
user4204600815948 :
uongo,, Pata stastics, Sio imagination
2026-08-23 12:06:42
0
hamrani.khamis
I am me :
By capital leter THIS IS MY LOVELY COUNTRY🥰🥰🥰
2026-08-22 22:14:11
0
zainabjosephat
mtoto wa mama zainab :
Tanzania 🇹🇿 ni pepo kwa viongoz walipo madarakan sio kwa wana nchii
2026-08-22 10:45:24
28
kadigaali447
Kadiga Ali :
Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaa
2026-08-23 10:12:59
0
shukuru947
shukuru94 :
mzee mimi nipo pamoja nawewe ni ukweli kabisa, bongo ni nzur mno
2026-08-22 07:09:55
46
user156848303406
Mr LG brand :
Huyu jamaa yupo fact san😁😁
2026-08-22 06:40:10
15
alhaj.qassim
Alhaj Qassim :
ambao hawajatembea hawawezi kukuelewa sisi tulio nje tunaelewa kaka 😭😭😭😭😭😭😭😭.
2026-08-23 00:38:27
17
edwinmwamakula
Edwin Mwamakula :
Mbona Chadema hawakomenti, kina Mange na Maria Sarungi na Heche
2026-08-21 23:32:51
9
mafeni993
mafeni :
true mzee
2026-08-22 05:54:41
0
g_kanakamfumu
G_Kanakamfumu :
Tz nchi nzur tatizo ni utawala tu 🙄
2026-08-22 18:16:16
7
tracestuttgart
Trace Stuttgart :
Kweli kabisaa,lakini tatizo ni mtaji mdogo,chapili TRA nuksi na la tatu wachawi wengi sana ,mpaka utoboe jitayarishe kupigana vita vingi sana
2026-08-22 03:30:59
8
daudidaudsemkuya
stope :
watu wengi ni hawaoni hii neema kwakua hawajaenfa kokote wanaongea hovyo kuiponda Tanzania 🇹🇿
2026-08-22 11:21:12
6
benardboaz
Benard Boaz :
Zingatia neno pepo😃 na siyo peponi.
2026-08-22 13:03:51
9
user9138426674224
user9138426674224 :
Hiyo Nakubar sana kaka Mwenyewe nimejione Tanzania nipepo hakika.
2026-08-22 08:22:24
0
geofreykambona
Geoffrey msuguli :
Tanzania ni pazuri sana shida utawala mbovu
2026-08-23 11:13:17
1
wahubani
WAHUBANI :
Upo sahihi kaka Tupo zetu uku shamba tunapiga kazi
2026-08-22 06:20:55
0
tahzuu
tahzuu :
tatizo ni viongozi. Tanzania sio nchi yakua maskini. Nchi ina barari, mito, maziwa, milima, weather haipo too extreme na tuna madini tofauti na imani ya nchi ipo. nchi inayo kila means yakuwa tajiri. BUT haina good leadership
2026-08-23 10:36:09
2
user3771500060575
953538 :
sasa mbona serikali inaomba msaada kila wiki😁😂😂
2026-08-22 15:50:17
2
user616838287120
user616838287120 :
Ni kweli huyu kaka kaongea ukweli mimi ninaishi marekani ni big stress sanaa tz ni nchi nzuri sanaaaa nikija vacation sitaki hata kurudi kusema ukweli basi tuu ni kwa vile watoto wangu ni wazaliwa na huku ila hii nchi hapana hakuna kupumnzika hata kama tz
2026-08-23 09:07:26
0
frankphilmon
frank philmon :
tatizo serikali haijaamua kuwezesha raia wake watupatie mitaji kulime kuna watu tunatamani kulima lakini tatizo mitaji
2026-08-21 23:26:54
2
husle2233
hustling gang🏃 :
unajivunia bahari wakati hata bei ya mafuta mmzidiwa na nchi zisizo na bandari sema Tanzania Kuna mapepo siyo pepon
2026-08-22 20:00:44
1
hashimkisese
hashim94 :
Ckupingi kaka, nipo uae huku joto ni 54°c, bila umeme unakufa huku, but tz hali ya hewa nzuri sana
2026-08-22 13:08:43
3
hbbishoo66
Lisa the cute 😍 :
Nakumbuka mwaka 2006 niliitwa na bibi yangu kijijini PEMBA aliniambia mambo mengi sana ila maneno ninayoyakumbuka hadi leo aliniambia "mjukuu wangu ipo siku moja watu wengi watapoteza mda wao kusoma comment yako"
2026-08-21 20:41:43
2
To see more videos from user @minobongo25, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About