@bbcnewsswahili: Orodha ya mashahidi wanaotajwa na Tundu Lissu imewakumbusha wengi tukio la mwaka 2012, wakati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa alipofika Mahakama ya Kisutu kama shahidi katika kesi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu. Mahalu alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, yakihusisha ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Italia na madai ya taarifa za uongo kuhusu thamani ya jengo hilo. Profesa Mahalu alipomtaja Rais Mkapa kuwa mmoja wa mashahidi wake, wengi hawakutarajia kumuona mahakamani. Mwandishi wa BBC @Sammy na taarifa hii #bbcswahili #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #foryou #siasa #tunduLissu #fyp
Sasa samia anajua hata sheria au mnataka kumtia aibu Rais wangu 😂
2026-08-21 21:58:40
29
juze :
saivi taarifa za mahakama Zina vibe kuliko zile za ikulu
2026-08-21 21:45:02
30
Mr. RUTTA Jr🙏. :
hiii Dunia ina watu wanadhulumu maisha ya watu kwa tamaa za kidunia
2026-08-21 22:24:19
12
Isa Lugome :
mkapa kumbe 2012 mkapa alikuwa raisi kilindi kile
2026-08-22 06:15:02
3
ØLÐ.ŠĈĤØØĹ.ĜŸM :
misconduct
2026-08-21 21:36:52
0
Kassim Khalaid :
wamuachie tu uyo mzee plz
2026-08-21 22:11:23
7
Abdulkarim kalama :
Du Tz tumepigwa mda mlefu Toka kwa mkapa mpk Leo watu wanongezea cha juu.
2026-08-22 08:17:05
1
Ndaturu Itandala :
Kwanini wasiende tuu??
2026-08-22 00:01:15
6
official orcu🇹🇿 :
R.I.P prof mahalu&mkapa🥺
2026-08-22 04:10:37
4
Tall-nenga :
hot sitting 🔥
2026-08-21 21:32:43
0
fransisconkuyumba :
Watanzania Pambaneni mpate KATIBA mpya
2026-08-22 05:08:02
3
future boy 💯💯 :
haki huchelewa tuu lakin itatimia kwa wakati wake, haki hukaa juu haikaliwi juu,, Tuwe na subira Mungu yupo hai
2026-08-22 00:12:31
7
hepatosplenomegally :
swali langu la msingi
kipindi mkapa anaenda mahakamani je alienda kuitetea serikali au alienda kumtumikia myu binafc????
kumbuka kua mkapa aliridhia hio thaman ya jengo na pia mujue kua ni mali ya serikali
Sasa km mkapa alikua raisi na alifika mahakamani samia anashindwaje nauliza tu jmn sina mwanasheria 🥺😁
2026-08-22 08:17:18
1
The Blacklist10 :
mmh patam hapo 😂
2026-08-21 22:01:49
3
Teddy love ❤️ 😍. :
2026-08-22 09:36:45
0
Rajabu Bundala :
2012 hiyo
2026-08-21 23:34:08
2
Saint Andrew dread🇹🇿 :
2026-08-21 21:48:17
1
ELON PROFILE :
BBC nawakubali sana
2026-08-22 07:21:35
0
humphreylukambing :
TOKA NPO NA MIAKA 17 nilikuwa napenda kusikiliza BBC ila nimegundua munatumika na watu wenye nia mbaya KWA MANENO MATENDO MUTAWAJUA WATU WANA NIA GANI RAISI SAMIA PIGA KAZI RAISI WETU MUNGU IBARIKI TANZANIA
2026-08-22 08:37:40
0
user72974907448310 :
huu ndio uwajibikaji wenyewe siyo ubabaishaji
2026-08-22 09:23:04
0
shundiidrissa :
Huo ni uongo
2026-08-22 08:02:50
0
Wander Tz :
Hivi mm ndoo sielew au
2026-08-22 07:21:40
0
Rachel Mbwambo :
napenda sana kusikiliza habar zako zinakuwa kweli na huwa unaongea kwa uhakika wa jambo kwa serious
2026-08-22 07:18:58
0
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm
homepage.