@mwaipaya_: Ramadhan Rudabuka (19) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja Genezani kutokana na video 3 alizosambaza TikTok mwaka 2025 ambazo zimetrend Mwaka huu Taarifa iliyochapishwa kuhusu hukumu hiyo inasema maudhui hayo yalikuwa na lugha ya matusi dhidi ya viongozi wa Serikali.( Samia) na ndio Script iliyotumika na Media zote nchini Ni maneno gani hasa yaliyotafsiriwa kuwa matusi na yakawa msingi wa adhabu hii? Kama kuna kauli inayodaiwa kuwa tusi, ni muhimu iwekwe wazi pamoja na mazingira ambayo ilisemwa. Kutokana na Uchunguzi inaonesha Kijana huyu alipost video hizo mwaka Jana October 2025 akiongelea mwenendo wa uchaguzi kwa Namna ya Kinafiki kupitia Video akiwa na Tisheti ya SAMIA Video hizo hazina uzito wa yeye kuhukumiwa. Kesi imekimbizwa haraka bila Kijana kupata mawakili wa kumtetea Hii Kesi hata uchukue Mwanasheria wa Field Dogo anashinda.