bado hamjasema,yanga mwaka Jana aligangaika lakin hamkuj na iyo time table
2026-08-22 08:39:34
6
Adam classic :
SASA NIMEELEWAA. YANGA MECHI ZAKE ZOOOTE ZA LIGI ATACHEZEA HOME NA ZILE ZA AWAY ATACHEZA SIMBA. NA TIMU NYINGINE ZOOOTE ZA LIGI KUU TZ BARA ZITACHEZA HOME. NI SIMBA TUU NDIO ATACHEZA AWAY.
2026-08-22 09:36:31
2
RAJABU MELIMELI :
duuuuhhhhh
2026-08-22 09:20:20
0
Eng.Anselmjr :
Ndio maana lig imeshuka haina usawa
2026-08-22 09:37:54
2
Amon izzy Boy :
ii ligi ni yanga ndomaana pengine latba ngum kwa simba2 wenyewe waokote mapema point ili Simba aangushe
2026-08-22 10:28:21
1
Innôxent E Mtemy :
kwn m nauliza kucheza away ni tatizo.? ata Yanga si atacheza away kwa mech sawa na hizo za Simba
2026-08-22 09:02:39
1
The boss baby :
naomba kuuliza ratiba ikiwa inawafeva mnakuwaga wapi?
kingine kwani yanga atacheza mechi ngapi home na simba atacheza ngapi home?
2026-08-22 11:18:13
1
Robby one :
kuna namna filani ya upangaji wa matokeo
2026-08-22 10:52:52
1
Alto Ngatunga :
Wanaposema mpaka 2030 wanamaana Yao, angalia kama Simba Kila baada ya siku 2 anacheza, Kuna watu wenye mamlaka wanaosabaishayote hayo
2026-08-22 09:34:30
1
Rai Suma :
Ipo siku kuna kiongozi wa mpila atauliwa na shabiki wa mpila hiyo siku ikifika Tutaheshimiana kwa kufuata Taratibu za mpila na kuheshimiana 🙏🙏
2026-08-22 10:13:10
1
brackboy :
fact
2026-08-22 11:58:01
0
Maya :
Wenye D2 tumekuelewa kaka, we acha tu mazingira ya ligi yetu ni kwa maelekezo tuuuu.
2026-08-22 11:53:11
0
Fadhilindungwi :
Kwaiyo mchambuzi ligi ya mwaka huu Simba atacheza mechi nyingi ugenini kuliko nyumbani na Yanga atacheza mechi nyingi nyumbani kuliko ugenini? Maana nasikia zaugenini tu na chache za nyumbani,unatuaminisha Simba katika jumla ya michezo 30 Simba atacheza michezo 10 pekee za nyumbani na 20 za ugenini?Kweli uonevu huo
2026-08-22 11:19:59
0
Pilato Online Tv :
Tatizo hapa ni CCM
Wanawalipa timu yao kwa zile hela walizo toa wakati wa Campaign.
2026-08-22 12:14:07
0
TANZANIA STAR :
kucheza away sio tatizo ila angalia mchoro ulivyo simba ameanzia Kagera-Mwanza-halafu Singida gape ni siku 2 tuu halafu safari toka Mwanza kwenda Singida hakuna ndege wamesafiri na bus umbali mrefu hapo uchovu muhimu sana.
Bila kuwa na unazi kama ni mtu wa mpira utaelewa jambo
2026-08-22 11:16:35
1
jabby tz :
hii ratiba si wew tu unakigugumizi tupo wengi mtaani huku an simba masaa 72 ila yanga anapumzika sana
2026-08-22 11:12:56
0
Emmanuel_Pasco1 :
Una akili sana,mpaka hapo Yanga Bingwa
2026-08-22 11:41:40
0
H_Mᴀᴀʟɪᴍ :
Inaonyesha kuna mipango maalum ya kuidhohofisha simba
2026-08-22 11:11:08
0
Halfan mbonde :
vigogo wamepanga Yanga ichukue ubingwa mara kumi mfululizo.
2026-08-22 10:50:02
1
~Mr Provider :
kwani shida gan
2026-08-22 09:59:25
0
user4710656237591 :
Hiyo inapangwa makusudi kuihujumu Simba!
2026-08-22 13:55:54
0
lutto :
yanga n kam ccm 2 sion cha ajabu
2026-08-22 14:35:48
0
Joel :
YANGA BINGWA 💛💚🖤
2026-08-22 10:29:38
0
sebastian_unstopable :
mwakani tena
2026-08-22 10:29:46
0
SIMECA06 :
@Adam classic:SASA NIMEELEWAA. YANGA MECHI ZAKE ZOOOTE ZA LIGI ATACHEZEA HOME NA ZILE ZA AWAY ATACHEZA SIMBA. NA TIMU NYINGINE ZOOOTE ZA LIGI KUU TZ BARA ZITACHEZA HOME. NI SIMBA TUU NDIO ATACHEZA AWAY.
2026-08-22 09:48:52
0
To see more videos from user @vkbmedia, please go to the Tikwm
homepage.