@wananchiitv: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Agosti 22, 2026 amewasili Rufiji mkoani Pwani na kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), tukio lililoshuhudiwa pia na aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Wananchi Tv
Region: TZ
Saturday 22 August 2026 08:29:46 GMT
Music
Download
Comments
Mbtzj tz🇹🇿 :
kushindwa kubaya
2026-08-22 10:33:58
3
molongwe majile :
president
2026-08-22 16:51:33
0
𝔸𝕣𝕠𝕪𝕔𝕖👊 :
uyu ndio mpinzani anae kosoa mabaya na kupongeza mazuri ya nayo fanywa na wapinzani wake🥰
2026-08-22 18:02:24
1
Humutu :
Maendeleo hayana Chama, Tanzania kwanza mengine baadae
2026-08-23 05:16:39
1
tiktok :
Kweli #
2026-08-24 10:24:19
0
Subra :
atasa atasaaa
2026-08-22 11:27:50
0
jeward thinks :
umja ndiyo ushindi
2026-08-23 09:58:25
0
muhamd gogo tz :
hizi ndio siasa tunazo hitaji ushirikiyano na masikirizano
2026-08-22 10:54:31
0
Hassan Kobelo :
nakupongeza sana.mzeee bwewe mngu akulinde
2026-08-22 09:59:01
1
Abduly salumu :
maaendeleo hayana chama hongereni wote mrio udhuria mungu awatie nguvu waeshimiwa wetu watukufu...
2026-08-22 11:54:27
1
Asifiwe philipo :
Mbowe kaenda kama nan
2026-08-22 11:34:47
0
Kamoja Mwamtegele :
lini kisongomilo lilipoxhindw
2026-08-22 11:23:57
0
mleno luis :
jamaa alina upende wa chama chochote mbowe lipo kati kati nama apo ungeanza kusikia tuna shukuru mama ?
2026-08-22 11:03:33
0
msold :
🙆
2026-08-22 10:56:30
0
EddyWilfkayombo🥚🐓🇹🇿🇹🇿 :
🤣🤣🤣🤣😂😂
2026-08-22 14:27:09
0
To see more videos from user @wananchiitv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.