@besafe.again: mwanamke na mwanaume walienda kupima na wameona kabisa kwa ndoa. wakati wanaenda walikuwa na furaha sana maana mke alikuwa mjamzito. lakin baada ya kupima mwanamme akakutwa na virus na mwanamke ni mzima. wakakumbushana maagano yao ya ndoa. KUVUMILIANA WAKATI WA SHIDA NA RAHA. Je wewe mwanamke ungemvumilia mmeo.Na vipi mme unetimiza maandiko? KUPATA HIV SIO MWISHO WA MAISHA. besafeagain 👍 #mwanza #katorogeita #tiktokmbeya #viralvideos #tiktoktanzania🇹🇿
Mume wang mfano bc t naendelea nae litakalo kuwa na liwe sis sote wa mwenyez na kwake tutarejea
2026-08-23 05:44:36
11
it’s mashella💕💕 :
bado ni wangu upendo wa kweli hauchagui
2026-08-23 16:53:20
2
queenrahly :
nweee subutu naeeendaaaaa naendaaaaaaaa
2026-08-22 11:55:40
6
julieth :
mimi nimemuacha iseee avune tu alichokipanda wanaume tukiwa tunalalamika sisi mnatuonaga wagonjwa wa ubongo mkiyapata mnataka tuwavumilie me nimemuacha kama nikuteseka niteseke tu
2026-08-23 10:05:53
2
giana 💞💞 :
ningevumilia2
2026-08-22 21:00:27
2
Mónica :
mungu naomba nisiongee chochote maana wewe unajua kila kitu changu👋
2026-08-23 12:06:19
1
Dr Yassin :
My situation
2026-08-23 09:11:30
0
Golden :
wakuu iyo picha inamaana Gani????
2026-08-23 13:34:08
0
Monica Suzi :
siwez kumkimbia maana najua huko nakoenda pia inaweza tokea ila tutafata ushauri na tutaishi Kwa aman
2026-08-22 11:27:25
1
mrs~w@zr@ ~🦋❤🦋 :
siez mtenga kisaa hiii gonjwaa la taifaa ukute me pia ninao bad haujaanza nikulaa ila hiiiii gonjwaa usimcheke mtu kesho kwakoo ivo tu
2026-08-22 18:48:24
0
Mpoloo :
VINASOMWAJE?
2026-08-22 23:50:06
0
Aisha Izack :
ninayembea mapema
2026-08-22 12:58:40
0
🦋official dorah💜 :
siwez mtenga
2026-08-23 14:39:26
2
Aisha Mlali2013 :
kwanza nazidisha upendo kw mume wangu
2026-08-23 08:21:12
0
Christina John :
naondoka
2026-08-23 13:13:34
1
Benjamini Petro :
una.mvumilia2
2026-08-23 13:39:42
1
user1348561408066 :
kuvumilia2
2026-08-23 13:41:02
1
Ibrahim Jalua :
tuwe waaminifu
2026-08-23 15:48:18
2
Girl toto :
uyo angekua mume wangu mbona kuanzia apo ningemuonyesh mapenzi na kumtia moyo asikate tamaa kuwa na vvu sio mwisho wa maisha🥰🥰🥰🥰